Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
- Thread starter
-
- #7,481
Tayari tuna mtu anayefanya hivyo, ni Toni Kroos. Besides, Vidal hiyo sio role yake wala hana hizo qualities. Vidal ni box-2-box or all action midfielder. What we need is a ball player/holder/passer who's more attacking, na Pogba is that guy. Ama tunaweza kumpata Verratti, then tukamu-unleash Toni acheze nafasi yake halisi.Kwa mimi sidhani kama tunamhitaji mtu kama pogba kwa sana,pale tunataka kiungo wakuunganisha nyuma kwa beki na mbele...yaan wangeniambia mtu kama vidal hapo sawa...
pande wa ushambuliaji,binafsi namkubali sana morata hata alivyoondoka binafsi sikufurahia..namkubali morata sana kuliko jesse,although I don't know uongozi utatafsirije kumrudisha nyumbani...
AS | The delay of the press conference has
to do with board members questioning the
move to sack Ancelotti which lasted hours.
Ah wapi, Ancelotti kazimia. Hao board members walim-mind kitambo, FloPe akawa anamtetea.
Hakuna kitu kama hicho, the tradition must be followed. Hii mambo haijaamuliwa leo kusema ndio walete shida, wao ndio walianza kum-mind kitambo. Ngoja tuone itakuwaje, ila Carlolina ni failure na anatakiwa kusepa.The Board of Directors wanaleta zengwe sijui itakuwaje.
Tayari tuna mtu anayefanya hivyo, ni Toni Kroos. Besides, Vidal hiyo sio role yake wala hana hizo qualities. Vidal ni box-2-box or all action midfielder. What we need is a ball player/holder/passer who's more attacking, na Pogba is that guy. Ama tunaweza kumpata Verratti, then tukamu-unleash Toni acheze nafasi yake halisi.
Morata harudi Madrid, alishasema hataki.
mimi nilihama na makelele wangu laana itaendelea kuwatafuna
Kroos unayemzungumzia ni wa mechi vs Juve ambayo hakuwa fit, ila jamaa alikuwa on-point sana for the most part of the season, ukizingatia pia alichezeshwa outta his position. Soka imebadilika siku hizi, unakaba kwa kumiliki m'pira na kutengeneza nafasi + kuzitumia.Unajua pale tunahitaji haswa mtu ambaye anakaba haswa...kama alonso kariba ile,huyu kroos angalia anakaba na macho sana,anamfuata adui kama anamsindikiza harusini,bado hajaweza kufanua kaz hiyo kwa uaminifu kabisa...