Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
- Thread starter
-
- #1,361
Hala madrid...niungane na mchambuzi,bale ana uchoyo sana...
As a man utd fun sidhan kama bale anatufaa
sura mbaya
anakimbia kama ghost
atazeeka mapenda rimwili lile
pound mil 150? shit
Tunataka man utd handsome
tunataka man utd inayoshinda dkk za majeruhi, injury
timu mpka dkk za mwisho haijiamini
thats man utd we wants.
Madrid bakini na Fuvu lenu Bale
man utd solidarity forever...