Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

FIFA Ballon D Or 2014 Ceremony

Date: Monday, January 12 2015
Time: 7 p.m. (GMT)
TV: Sky Sports 5
Live Stream: Sky Go. FIFA.com.

 
Akili yangu inanituma kuwa tuzo hii anapewa kipa wa ujeruman na hatapewa ronaldo kwa sababu ile ile ya chuki za blatter+platin wakiwa ndo mataikuni katika tuzo hii...vigezo vyao vinabadilika kulingana na nani anatakiwa sasa apewe...ukiangalia 2010 iniesta alikuwa mtu muhimu sana kuanzia katika club hadi nchi ila alipewa mtu mwingine ambaye alikuwa pia anacheza club moja na iniesta,watoa tuzo hiyo wakatuambia kwa kuwa mmpewa tuzo alifunga magoli mengi...ni kichekesho kilioje,mwaka huo huo cassilas alifungwa magoli manne kama siyo mawili(utanirekebusha kama nimekosea)tu katika mashindano yale ila kipa huyu wa sasa kafungwa magoli mara mbili zaidi..ndio maana nasema vigezo vyao vinategemea nani anatakiwa apewe mwaka huu,ndio maana hatushangai kuona kura zikichakachuliwa
 

Kama wameamua kumpa Neuer watampa tu kwasababu ya chuki zao binafsi. Kuhusu Casillas na huyu jamaa nilishawahi kuweka ulinganisho wao kule kwenye topic nyingine, angalia hapa chini






 
Bayern Munich CEO Rummenigge: "Judging from what I'm hearing from the experts over the past few days, the general consensus seems to be that Cristiano Ronaldo will win the Ballon d'Or."
"If I'm completely honest with myself, I've to say I'm worried that they (those who say Cristiano should win the Ballon d'Or) could be right."
 
|| Ronaldo was the most instrumental and influential in helping Real Madrid land the coveted La Decima || The Los Blancos' success was driven by Ronaldo's whopping 17 goals in last season's Champions League || Ronaldo smashed in both goals in the final of the Super Cup against Sevilla || Ronaldo bagged the Pichichi award for La Liga's top-scorer for the 2013-14 season with 31 goals || His four hat-tricks this season has taken his tally to 23 in total which is a La Liga record. He also became the fastest player in the history of the Spanish league to reach 200 goals || With his goal against Liverpool at Anfield in the Champions League in October, Ronaldo became the first player ever to score in 10 consecutive away Champions League games ||

Hala Madrid!!!



 
Ancelotti's plan is to get Luka Modric back fully fit for the Champions league game against Shalke in Mid-February. [Via : Cope]
 
Training session / Entrenamiento 12/01/2015

Updated 18 seconds ago

The team starts preparing for the Copa del Rey game against Atlético
#CopaDelRey









 
2014 COMPARISON: The 3 coaches on FIFA's shortlist for the Coach of the Year award. [Via : rmadrid_stats]

 
Last edited by a moderator:
According to AS, Toni Kroos is gonna get chosen on FIFA FIFro World XI, which confirm he's attending the Ballon d'or Ceremony
 
​Sergio Ramos on his way to Zurich

He'll be attending the ceremony today and a big chance of him being selected in World XI

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…