Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

Mimi bana Barca wamezidi kubebwa kila timu ngumu wakipambana nayo lazima ibaki na wachezaji 10,na wakibaki hao wachezaji 10 ndio wanaanza kufunga ,namuunga mkono Jose kwa aliyosema,alisema mwanzo anajiaandaa na kucheza na wachezaji 10 na kweli yametokea yale yale ambayo watu wameanza kusema ndio yanatokea,hizo ni mbinu chafu za Barca,kama kutangaza UNICEF si watangaze tu bila kubebwa
 
Crap! Barca opponents should achieve their preferred results fairly and not by illegal means. When you start kicking your opponents or kicking the ball after the whistle has gone then you only get what yo deserve.
Kwa hiyo na wewe unataka kutuambia wachezaji wa Barcelona hawafanyi fouls? Get your Barcelona glasses off... uliangalia mechi ya finali ya Copa Del Rey?
 
Did someone saw jinsi ambavyo Barca players walivyokuwa wanam presurise Ref kwa kumzunguka the time faulo inateendeka?,

With all due respect to Barca, n kwel wanacheza mpira vyema lakini wamezidi kuliakulia na wao...hata kama ilikuwa el Classico they acted childishly.....

All in all, we want them...na waje na ma comedians wao Wembley...nasema TUTAWANYOA hivohvo...na natamani siku hyo Kibabu SAF atie ndan Fabio, Rafael na mtoto wa Mbwa Fletcher, na Xuls...ni viatu kwenda mbele....!
 
Plan ya jana ni kama aliyoitumia kwenye mechi mbili zilizopita... contain them if possible ikiwezekana smash and grab... In fact he was shooting for 0-0 the game tilted Barcelona's way baada ya kadi nyekundu surprise surprise.

Hapo kwenye red naomba kutofautiana na wewe...How do you explain 71% vs 29% possession?
Tukubali ukweli kuwa stratergy ya Mourinho ilikuwa hovyo hata kama ilimsaidia mechi mbili zilizopita kabla, huwezi ukawa unacheza game ya kuvizia vizia ukategemea ushindi every time...Alijua kabisa kama angetumia game plan ya Barca angedungwa hata bao 5!
 

Real nao walikuwa wanacheza kihuni pia....haswa ukizingatia kwamba walikuwa hawana possession ya mpira kabisa,

It will be great kuwadunga hawa jamaa wakija uwanja wa nyumbani Wembley!
 
Source: ESPNsoccernet staff
April 27, 2011
Real Madrid manager Jose Mourinho
has conceded that his side have no
chance of reaching the Champions
League final after a 2-0 first-leg defeat
to rivals Barcelona at the Bernabeu. - Champions League Gallery - Pep Guardiola avoids war of words Mourinho was sent to the stands in a
tempestous game that saw Barcelona
substitute goalkeeper Pinto sent off at
half-time, before Madrid midfielder Pepe
was dismissed for a tackle on Javier
Mascherano. Lionel Messi exploited the space to claim a late brace and now
Mourinho feels his side are out of the
tie. "The return game is mission
impossible,'' he told the press after the
game. ''Barcelona has qualified for the
final. Sometimes I feel disgusted about
this football world of ours. Yes, we have
already been knocked out. ''We had the intention to keep the game
at 0-0, then bring on a striker, then a
third phase with a No. 10 behind three
forwards. But the ref didn't allow it.'' Mourinho continued his post-match
rant by targeting Barcelona's record of
playing against ten-men in the
competition, most notably their win
over Chelsea in the semi-final in 2009. "I just have one question: Why?,'' he
added. ''Why Ovrebo [Chelsea vs.
Barcelona referee in 2007 semi-final],
Busacca [Barcelona vs. Arsenal in this
year's Champions League], Stark? In
each semi-final it is the same. We are talking about an absolutely fantastic
team. Why didn't Chelsea make the
final? Why did Inter have to be saved by
a miracle? ''Congratulations to Barcelona. But I just
do not understand why Barcelona
always receive the help of the referee.
All my life I will be asking myself this
question, and one day I hope to receive
an answer. ''I am not too sad, I have a great family.
But I don't understand why Barcelona
have this power. It happened two years
ago to Chelsea (in the 2009 semi-finals)
, almost to my Inter last year, and also
to Arsenal this year. ''Why do the opponents of Barcelona
always have a man sent off? Where
does this power come from? Maybe it is
to give more publicity to UNICEF, maybe
because of the power of (Spanish
federation president Jose Angel) Villar in UEFA.'' Turning his attention to Pep Guardiola,
Mourinho said: ''Barcelona are a great
team on and off the pitch, but winning
like that doesn't leave the same taste. ''I have already won two Champions
Leagues, and I won them on the pitch,
with two teams that weren't Barcelona.
I won one with Porto, a small team from
a weaker league. And I won another
with Inter, sweating and fighting hard. ''Josep Guardiola is a fantastic football
coach, but the Champions League he
won was an embarrassment because of
what happened at Stamford Bridge - it
was a scandal. And if he wins it this
year, he will win after the scandal at the Bernabeu. Let's hope he gets the
chance to win a clean Champions
League (in future), without scandals. ''Guardiola deserves to win a
Champions League normally. That's
what I wish because he is a very good
coach who I respect as a person for his
fantastic treatment in four years with
him. ''I respect him a lot as a coach and as a
person, I hope that one day he will win
a clean Champions League, with no
incidents behind it.'' Cristiano Ronaldo, who was largely
anonymous as an attacking presence
during the game and showed visible
frustration with the way Madrid were
playing said: "Do I like to play in a
defensive team like Madrid? No, but I have to adapt to what the coach wants. "Playing against 10 men isn't easy. 0-0
would have been a good result. 2-0 is
very difficult. Messi played very well, but
it's easier against ten." However, Ronaldo also agreed with his
coach's assessment of how Barcelona
extend their influence over the game. "It's always the same with them
[Barcelona]. This is the fourth
consecutive season that something like
this has happened. [Jose] Mourinho is
right, just look at what happened with
Arsenal, Chelsea and Inter," he added. "They [Barcelona] are a fantastic team,
but they also have a lot of influence,
both on and off the pitch."
 
Nimefurahi sana maana RealM hawana uwezo wa kuwasimamisha ManU lkn kwa Barca ManU wasahau ubingwa wajaribu mwakani
 
No.1: Didier Drogba (Barcelona 2-1 Chelsea)
February 23, 2005 - Champions League last-16, first-leg

Drogba was the man to kick-start the growing list of players under Mourinho's guidance to be sent off against Barcelona. The Ivorian striker was given his marching orders on 56 minutes after a double yellow card, the second of which was a late lunge on goalkeeper Victor Valdes as he tried to pounce on a short Juliano Belletti backpass.

Chelsea were leading 1-0 at the time and, not surprisingly, Barca netted twice after the Blues were reduced to 10 men.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.2: Asier del Horno (Chelsea 1-2 Barcelona)
February 26, 2006 - Champions League last-16, first-leg

History was to repeat itself in near-identical fashion almost exactly a year later. In the same competition at the same stage, Mourinho's Chelsea surrendered a one-goal lead and had Asier del Horno dismissed.

The left-back was issued a straight red card on 37 minutes after a challenge on Lionel Messi, a tackle which also sparked a melee between the two sets of players.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.3: Thiago Motta (Barcelona 1-0 Inter)
April 28, 2010 - Champions League semi-final, second-leg

Six further meetings between Jose and Barca went by before the Portuguese tactician saw one of his players sent off again. This time it was with Inter in the semi-finals.

Leading 3-1 from the first-leg at home, Mourinho's men were forced to go ultra-defensive at Camp Nou when Thiago Motta was red carded in the 28th minute after the midfielder's raised arm made contact with Sergio Busquets' face. Mou's side lost the game 1-0 but won the tie 3-2 on aggregate.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.4: Sergio Ramos (Barcelona 5-0 Real Madrid)
November 29, 2010 - La Liga, Matchday 13

Mourinho's first ever Clasico ended unceremoniously in more ways than one. The Portuguese was subjected to his heaviest defeat as a professional coach and Madrid suffered their heaviest loss against Barca in 16 years.

And, of course, the 'Special One' only had 10 men on the field come the final whistle after Sergio Ramos was brandished a straight red two minutes into injury time for a cynical tackle on Lionel Messi.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.5: Raul Albiol (Real Madrid 1-1 Barcelona)
April 16, 2011 - La Liga, Matchday 32

Mourinho achieved two things in his second ever Clasico: for the first time he avoided defeat against Barca when he only had 10 men, and he also stopped the Catalans' run of five straight wins over Madrid.

But the capital club had to do it the hard way, coming from behind after Messi scored from the penalty. The spot-kick was a result of Raul Albiol hauling David Villa to the ground inside the box, a foul which saw the centre-back dismissed with a straight red card.

OUTCOME FOR MOURINHO: Drew

No.6: Angel Di Maria (Barcelona 0-1 Real Madrid AET.)
April 20, 2011 - Copa del Rey final

Mourinho's third Clasico ended on a happy note, albeit again with 10 men. The 'Special One' guided Madrid to the Copa del Rey after a 1-0 extra-time win over Barcelona in the final.

However, Angel Di Maria was sent off in the 120th minute after a trip on Lionel Messi earned him his second yellow card of the match. The Argentine winger had already been booked in the 85th minute for handball.

OUTCOME FOR MOURINHO: Won

No.7: Pepe (Real Madrid 0-2 Barcelona)
April 27, 2011 - Champions League semi-final, first leg

One of the most controversial red cards on the list, almost exactly a year after Thiago Motta's equally contentious sending-off.

Pepe was sent for an early bath when he lunged forward to challenge Dani Alves for the ball, but the referee deemed that the Portuguese defender-turned-midfielder had caught the Barca right-back with a high foot and was given a straight red card. After Madrid went down to 10, Lionel Messi netted twice to secure a 2-0 win.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost
 
Hakuwa na mpira muda mrefu hivyo akawa frustrated alivyoupata sasa alichofanya ni kupiga mpira pamoja na kwamba refa alikuwa ameshapuliza kipenga kuashiria alikuwa offside, sasa refa angefanyaje uamuzi ulikuwa ni wake na alichoamua ni kumpa red card.
acha utetezi usiokuwa na maaana
kulikuwa kuna tofauti ya sekunde 1 kati ya van persie na firimbi ya refa ya offside. so the decison was clearly wrong, the ref was the 12th player barca had on the night
 
Mdomo unaumba pia, Jose anaposema kuwa kajiandaa kucheza wakiwa kumi, tena kwenye pre match, anapeleka ujumbe gani kwa refa!

Mnampenda Jose lakini mtambue kuwa hata yeye ni mtu wa kulialia tu kila anapoishiwa mbinu.

Kila mechi na Barca Jose anaamini kwa kuwaandaa wachezaji wake kutumia nguvu ndo anaweza kuikabili Barca kumbe yupo wrong na matokeo yake wanaishia kubaki 10!

Game plan yake ya jana ilikuwa ovyo na ndo maana alipoteza mechi vile. Katika mechi kama ile huwezi kumwacha nje Kaka na akacheza Ozil, CR7 si sentafoward, angemchezesha kama anavyocheeza mechi nyingine, matokeo yake akawa mpweke na kutegemea dead balls. Kwa nini Higuain au Benzema hawakucheza? Wakati mechi ni ya nyumbani?
 
Nimefurahi sana maana RealM hawana uwezo wa kuwasimamisha ManU lkn kwa Barca ManU wasahau ubingwa wajaribu mwakani
ha hapo umeongea kinyume, real madrid wanasumbuua sana man u kama hujui sasa,
 
98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal
 
Pamoja na hiyo possession Barcelona walikuwa wamefunga?, Angalia mechi zote mbili zilizopita Barca walikuwa na possession kubwa lakini goli hakuna. Wewe sijui umeanza kuwaangalia lini Barcelona lakini most of the time kwenye mechi kubwa wakibanwa basi goli lazima lipatikane pindi mchezaji wa timu pinzani anapopewa kadi nyekundu and that is a FACT!

''We had the intention to keep the game at 0-0, then bring on a striker, then a third phase with a No. 10 behind three forwards. But the ref didn't allow it.'' - Jose Mourinho
 
98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal
:banplease:
 
''We had the intention to keep the game at 0-0, then bring on a striker, then a third phase with a No. 10 behind three forwards. But the ref didn't allow it.''
Jose Mourinho
 
acha utetezi usiokuwa na maaana
kulikuwa kuna tofauti ya sekunde 1 kati ya van persie na firimbi ya refa ya offside. so the decison was clearly wrong, the ref was the 12th player barca had on the night

Wewe unaona hauna maana lakini hicho ndo kilichotokea, hata hivyo kwenye mechi ile kuna mambo mengi yalitokea kama vile red card, timu iliyofika nusu fainali kushindwa kupiga hata shuti moja kwenye lango la timu pinzani, timu dhaifu kutolewa kwenye mashindano hivyo ni uchaguzi wa mtu kuchagua aongee nini, wewe kama uliona red card tu fine unaweza kuongelea hiyo lakini pia ungeweza kujiuliza mbona kuna timu zingine hata wakibaki kumi huwa angalau wanapiga mashuti langoni kwa timu pinzani zingine hata kushinda kabisa kwa nini isiwe kwa timu unayoitetea.
 
Mourinho amesema ukweli kabisa kwani Barca hawajaanza kubebwa na marefa leo wala jana.Siku zote ukikutana nao kwenye decisive game ujue refa lazima atawaliza tu.Tena timu za England ndio zimekuwa victim wa marefa.Nukumbuka kuanzia Leeds Untd,Chelsea mara mbili na Arsenal mara mbili ikiwamo fainali.

Mara zote timu za uingereza zinamaliza mechi na wachezaji pungufu cha ajabu sijasikia hata FA ya uingereza ikilalamikia suala hili.Mi naamini kuwa Barca hawahitaji msaada wa refa ili kushinda kwani soka wanalijua sana.Sasa hawa marefa sijui kwanini wanaharibu ladha za ushindi wa Barca.

Kitu kimoja nilichojifunza kwa Barca ni kwamba wachezaji wake ni wadanganyifu sana wanapokuwa uwanjani ndo maana kadi nyekundu kwa timu pinzani ni lazima zitembee.Jana nimeshudia Puyol,Pedro na Busquets wakiguswa vifuani lakini wakajirusha huku wakiwa wameshika usoni kama vile wamepigwa viwiko usoni.Yote ni kumfanya refa atoe kadi.Hakika ni waigizaji wazuri na wanaweza hapo baadaye wakawa waigizaji bora zaidi HOLLYWOOD!!!!!!!
 
This is one of the weakest argument I have ever read on this forum, kwa hiyo kwa kuwa hawajapiga shuti hata moja ndio walistahili mchezaji wao kutolewa? Are you effin serious? Soma post number 186.

2009 Chelsea alikuwa anamtoa Barca kwenye 1/2 somehow somewhere refa akafanya madudu, mwaka jana Inter kamkamata Barca vizuri dakika ya 30 wakampa Mota kadi nyekundu, mwaka huu Arsenal wamepata goli la ugenini suddenly RVP anapewa kadi game inatilt upande wa Barca. Tuache double standard ingekuwa inabebwa Chelsea au Man Utd namna hiyo tusingelala hapa.
 

Naona watu mna hasira za kufungwa, naenda lunch nitarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…