Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

<font size="4"><font color="darkred"><b>Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee vipi naona machabiki wa Manure mmeanza kulialia hata kabla ya kupata passport? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Wakati Arsenal walipocheza na RVP kutolewa mlisema opposite lakini leo mnageuza kibao. <font color="darkred">What hypocrisy is that?</font></b></font></font><font color="darkred"></p>
<p><font size="4"></p>
<p><font color="darkred"><b>BTW the match was boring … … …. full of niggling tackles and deceit.</b></font></p>
<p></font></font>

Anko Wacha1...nadhan tht day tulikuwa pamoja, na hili la RVP, i felt sorry for him as well, wala haihitaj uzoefu wa soka kivile kujua tht day ref deciosion was poor, period...unles otherwiz naona kelele za Mour zitawafanya waamke kdg awa UEFA..

BTW umewasiliana na Mbu na AW juu ya yale maturabai?, nimeaambia wayalete London...lol!
 
Eqlypz

Niameandika hapo juu with all respect kwa Barca kuwa wanacheza mpira mzuri lakini binafsi naona pressure waliokuwa wanamjaza ref inanifanya niamini kuwa hawa jamaa they had something to do na kutaka kubebwa..What do i mean?, embu cheki na faulo ngapi ambazo Barca walikuwa wana suffer (ziw malicious au kuigiza), walikuwa wanamzonga ref, just imagine Valdes anakimbia mita zaidi 50 kuja kumzonga ref?, let alone Bad Boy alves alivojigaragaza kama kavunjwa inhal hata hajaguswa...najua ni mbinu za kiuana spot, lakn ktk il watu (kina sie) tuki connect dots we feel something fishy going on out there...kama unadhan nakosea fuatilia hightlights za mechi ya jana, kwa kuanzia tu, cheki na ile red card ya Pepe, jinsi Valdes na wenzake zaid ya 8 walitoka mita 30 mbali kuja mzonga ref...hilo ni tukio moja tu, let alone mengine..

Ayo ya nyuma, e.g. La Arsenal nadhan wenzangu wamelisema vzur, wakijibu vzur hoja yangu na u comedy wao, then tutaenda sawa...Barca are good, but with fair refereeing we will beat them..mark my words fellas.
hii style ya yetu ya kujilizia na kupendelewa kam mnavyoita itaendelea mpaka mou atakapobadilisha mfumo tu.
 
Twende na kanuni mkuu, kupewa kadi nyekundu haina maana kuwa wamebebwa. Wanavyocheza barca wanawafanya wapinzani wao kujisahau na kucheza rafu. \ile nyekundu uliiangalia mazingira ilotolewa?
 
Msiwe bias kiasi hicho ninyi anti-barca, ukweli ni kwamba kwa style ya mou anapokutana na barca totally anakuwa na aggressive mechancal tactics ili kuwa panicisha wachezaji wa barca wasicheze mpira wao wa siku zote.

Hilo barca amelitambua na wao hii mbinu ya kujilizia kama watoto wataitumia sana na believe me next game 11-10 men probability yake ni kubwa kama na kama tu mou anaendelea kuwajaza ujinga wachezaji wake kimbinu mou anaonekana kuzidiwa na huo ndio ukweli .

Tuone kama defensive style ataitumia next wiki wakati yuko nyuma kwa goli mbili .
Barcelona ni timu nzuri kwa sasa duniani kubali kataa na hizi ni nyakati najua inawauma sana wengi wenu.

Ndo maana mnakuja na argument nyingi za oooh barca wapendelewa endeleni mna haki lakini kumbukeni na sisi barca fans huwa tuna angalia mpira na hatupendezwi na ile style ya mou,

Haya mambo huwa yanaitokea timu yoyote inapokuwa top ulaya, Man U pia walisuffer the same, Milan pia, Bayern nao walikumbana na hali hii. Ushabiki wa soka una tabia hii.
 
Mimi bana Barca wamezidi kubebwa kila timu ngumu wakipambana nayo lazima ibaki na wachezaji 10,na wakibaki hao wachezaji 10 ndio wanaanza kufunga ,namuunga mkono Jose kwa aliyosema,alisema mwanzo anajiaandaa na kucheza na wachezaji 10 na kweli yametokea yale yale ambayo watu wameanza kusema ndio yanatokea,hizo ni mbinu chafu za Barca,kama kutangaza UNICEF si watangaze tu bila kubebwa
Vipi tena UNICEF ndiyo UEFA siku hizi? Tutajie timu hata moja isiyotangaza kampuni au shirika. Halafu uache uongo Sergio Ramos alipotolewa November mwaka jana ilikuwa ndani ya dakika mbili za nyongeza, wiki iliyopita Angel Di Maria alitolewa dakika ya mwisho ya mda wa nyongeza.. Ni kweli marefa ni binadamu na mara kadhaa wanakosea sana, lakini hiyo isiwe sababu ya kudanganyana hapa.
 
Did someone saw jinsi ambavyo Barca players walivyokuwa wanam presurise Ref kwa kumzunguka the time faulo inateendeka?,

With all due respect to Barca, n kwel wanacheza mpira vyema lakini wamezidi kuliakulia na wao...hata kama ilikuwa el Classico they acted childishly.....

All in all, we want them...na waje na ma comedians wao Wembley...nasema TUTAWANYOA hivohvo...na natamani siku hyo Kibabu SAF atie ndan Fabio, Rafael na mtoto wa Mbwa Fletcher, na Xuls...ni viatu kwenda mbele....!
Ha ha haaa! Halafu adhabu ya 'viatu kwenda mbele' kwa mujibu wa sheria za mpira ni ipi???
 
Vipi tena UNICEF ndiyo UEFA siku hizi? Tutajie timu hata moja isiyotangaza kampuni au shirika. Halafu uache uongo Sergio Ramos alipotolewa November mwaka jana ilikuwa ndani ya dakika mbili za nyongeza, wiki iliyopita Angel Di Maria alitolewa dakika ya mwisho ya mda wa nyongeza.. Ni kweli marefa ni binadamu na mara kadhaa wanakosea sana, lakini hiyo isiwe sababu ya kudanganyana hapa.
wafa maji hao ndugu yangu
 
This is one of the weakest argument I have ever read on this forum, kwa hiyo kwa kuwa hawajapiga shuti hata moja ndio walistahili mchezaji wao kutolewa? Are you effin serious? Soma post number 186.

2009 Chelsea alikuwa anamtoa Barca kwenye 1/2 somehow somewhere refa akafanya madudu, mwaka jana Inter kamkamata Barca vizuri dakika ya 30 wakampa Mota kadi nyekundu, mwaka huu Arsenal wamepata goli la ugenini suddenly RVP anapewa kadi game inatilt upande wa Barca. Tuache double standard ingekuwa inabebwa Chelsea au Man Utd namna hiyo tusingelala hapa.
'Tuache double standard' wakati huo huo unaacha kuhoji kwa nini Adebayo hakulambishwa nyekundu kwa rafu yake mbaya jana?! Au labda hukuiona mkuu. Makosa yaliyomfanya refa ampe Pepe nyekundu badala ya njano ndo hayohayo yalimfanya ampe Adebayo njano badala ya nyekundu! So, justice done!
 
No.1: Didier Drogba (Barcelona 2-1 Chelsea)
February 23, 2005 - Champions League last-16, first-leg

Drogba was the man to kick-start the growing list of players under Mourinho's guidance to be sent off against Barcelona. The Ivorian striker was given his marching orders on 56 minutes after a double yellow card, the second of which was a late lunge on goalkeeper Victor Valdes as he tried to pounce on a short Juliano Belletti backpass.

Chelsea were leading 1-0 at the time and, not surprisingly, Barca netted twice after the Blues were reduced to 10 men.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.2: Asier del Horno (Chelsea 1-2 Barcelona)
February 26, 2006 - Champions League last-16, first-leg

History was to repeat itself in near-identical fashion almost exactly a year later. In the same competition at the same stage, Mourinho's Chelsea surrendered a one-goal lead and had Asier del Horno dismissed.

The left-back was issued a straight red card on 37 minutes after a challenge on Lionel Messi, a tackle which also sparked a melee between the two sets of players.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.3: Thiago Motta (Barcelona 1-0 Inter)
April 28, 2010 - Champions League semi-final, second-leg

Six further meetings between Jose and Barca went by before the Portuguese tactician saw one of his players sent off again. This time it was with Inter in the semi-finals.

Leading 3-1 from the first-leg at home, Mourinho's men were forced to go ultra-defensive at Camp Nou when Thiago Motta was red carded in the 28th minute after the midfielder's raised arm made contact with Sergio Busquets' face. Mou's side lost the game 1-0 but won the tie 3-2 on aggregate.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.4: Sergio Ramos (Barcelona 5-0 Real Madrid)
November 29, 2010 - La Liga, Matchday 13

Mourinho's first ever Clasico ended unceremoniously in more ways than one. The Portuguese was subjected to his heaviest defeat as a professional coach and Madrid suffered their heaviest loss against Barca in 16 years.

And, of course, the 'Special One' only had 10 men on the field come the final whistle after Sergio Ramos was brandished a straight red two minutes into injury time for a cynical tackle on Lionel Messi.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost

No.5: Raul Albiol (Real Madrid 1-1 Barcelona)
April 16, 2011 - La Liga, Matchday 32

Mourinho achieved two things in his second ever Clasico: for the first time he avoided defeat against Barca when he only had 10 men, and he also stopped the Catalans' run of five straight wins over Madrid.

But the capital club had to do it the hard way, coming from behind after Messi scored from the penalty. The spot-kick was a result of Raul Albiol hauling David Villa to the ground inside the box, a foul which saw the centre-back dismissed with a straight red card.

OUTCOME FOR MOURINHO: Drew

No.6: Angel Di Maria (Barcelona 0-1 Real Madrid AET.)
April 20, 2011 - Copa del Rey final

Mourinho's third Clasico ended on a happy note, albeit again with 10 men. The 'Special One' guided Madrid to the Copa del Rey after a 1-0 extra-time win over Barcelona in the final.

However, Angel Di Maria was sent off in the 120th minute after a trip on Lionel Messi earned him his second yellow card of the match. The Argentine winger had already been booked in the 85th minute for handball.

OUTCOME FOR MOURINHO: Won

No.7: Pepe (Real Madrid 0-2 Barcelona)
April 27, 2011 - Champions League semi-final, first leg

One of the most controversial red cards on the list, almost exactly a year after Thiago Motta's equally contentious sending-off.

Pepe was sent for an early bath when he lunged forward to challenge Dani Alves for the ball, but the referee deemed that the Portuguese defender-turned-midfielder had caught the Barca right-back with a high foot and was given a straight red card. After Madrid went down to 10, Lionel Messi netted twice to secure a 2-0 win.

OUTCOME FOR MOURINHO: Lost


Barcelona Tactics.

1. Keep the ball.
2. Attack seriously.

Morinho Tactics against Barcelona.

1. Defend strongly.
2. Attempts counters.

Kwanini kadi zisitolewe hapo ?

Binafsi ningeona mnafanya jambo la busara zaidi kuzungumzia namna kadi zinavyotoka, na si kuargue kuwa Barcelona wanapendelewa. Katika mechi zote ulizozitaja hapo juu kadi zilitolew baada ya mchezaji kufanya faulo mbaya na isiyo ya kimichezo. Hebu angalia tackling aliyoifanya Pepe jana hapa,
YouTube - Real Madrid VS Barcelona 0-2 Pepe Red Card Highlights + Goals - Real Madrid Pepe Sending Off

hakika kama unajua sheria ya mpira hii ilikuwa ni staight red. Maana kanyanyua mguu purposely sio kucheza mpira bali kumkita Alves na ndio maana concentration yake haikuwa kwenye mpira bali kwenye mguu wa Alves baada ya kuona mpira ushamzidi. Hata commentator hapo msikie anasema sure this is straight red.
 
Wacha kuassume hujui na-support team gani Spain, ukitaka kujua uliza sio unakimbilia conclusion zisizo na kichwa wala miguu. Hapa tunajadili kama wapenzi wa soka ushabiki pembeni.

Mimi sijui timu unayoshabikia na silazimiki kujua, ila ninachojua kwa mshabiki yeyote wa soka akikuta timu zinacheza hata kama hajawahi kuziona akishawishika kuangalia tu hiyo mechi lazima atachagua timu mojawapo ya kushabikia na kutokana na mabandiko yako kwenye hii sredi unaonyesha kabisa ulikuwa real, hivyo jana mmepigwa ndo maana una hasira.
 
Ukiangalia mechi zote with exception of Barca vs Inter, Barca wanafunga baada ya timu pinzani kupata red card? Angalia dhidi ya Arsenal, Chelsea, Inter jana Madrid...? Sio kila siku mnaisema Man Utd kuwa inabebwa inapokuja kwa Barca mnadai wanajua mpira, Mourinho and co had them where he wanted them kama alivyofanya kwenye Copa Del Rey na kwenye El Clasico two weekends ago.
Mkuu, mechi zote? Ikiwemo fainali ya UEFA kati ya Man U na Barca?? Kumbe man u walikuwa pungufu?
 
hii style ya yetu ya kujilizia na kupendelewa kam mnavyoita itaendelea mpaka mou atakapobadilisha mfumo tu.

Kwa kifupi plan ya bw Mourinho ilifanyiwa home work vizuri na barca,maana jamaa alishajipanga kucheza na watu 10,kichwani wachezaji walishakaa mkao kucheza kingangari/kitemi mapema.
 
Kama Real ingekuwa inafundishwa na kocha mwingine matokeo ya mechi ya jana yangekuwa tosha kumfukuzisha kazi...lakini sababu ni Morinyo basi watu wako busy kweli kutetea!
Kaazi kweli kweli!!
 
Mpira unadunda bana,Mourinho anacheza na akili ya barca maana atajapiga mpira wa nothing to lose.Patachimbika.
 
Vipi Wolves wakati mnataka kuwa Invincibles? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha ngebe kaka mpira sio hivyo Wivu unakusumbua kwa sababu Barca walifungwa na Arsenal ... ... kumbe unajua nini kinakuja khe khe kheeeeeeeeeeee magoli uliyaona yalikuwa na kubahatisha ...... .... bahatisheni na nyinyi au kubebwa mnakobebwa phew! Disgusting.






Shut up!

kaka mimi siyo arsenal,bali mimi ni Barc,
 
Ngoja na mimi niweke senti zangu kuhusiana na game ya jana
Ilikuwa mojawapo ya game mbovu ambazo nimeziona sometimes bora hata Simba na Yanga

Barcelona
Kwa sasa hawapo kwenye kiwango kizuri hasa David Villa na Pedro wameshuka kiwango kwa sasa ila waliweza kumudu bila kucheza bila ya wachezaji muhimu kama beki wa kushoto na Iniesta.Baada ya juzi Guardiola kumtukana Mourinho kwenye press conference alivyotoka wachezaji walianza kumpigia makofi.Nilijua hii game itakuja kuwa vita mchezaji akiguswa tu kaanguka na wengine wote wanamzingira refa

Real Madrid
Baada ya game ya kombe la mfalme ni kweli kwamba Mourinho alipata mbinu ya kuwazuia Barca ,ambayo ni kujaza viungo kuwachosha Barca na jinsi muda unavyozidi kwenda ndio anaanza kushambulia.Jana alikosea kumuanzisha Ozil angeanza Benzema/Higuain.Ingawa anasema jana alitaka kumuingiza KAKA dakika 25 za mwisho Pepe alivyopata kadi tu mipango ikaharibika .Kadi ya Pepe ilikuwa sawa ila sidhani kama Mourinho alistahili kutolewa jukwaani

Maneno anayoyaongea Mourinho ni ya ukweli ila ndio yanamletea matatizo,yale matusi aliyotukana Pep ingekuwa Fergie au mchezaji wa timu nyingine angefungiwa hata mechi 10
 
Ngoja na mimi niweke senti zangu kuhusiana na game ya jana
Ilikuwa mojawapo ya game mbovu ambazo nimeziona sometimes bora hata Simba na Yanga

Hebu acha kufunga watu wazima Kamba! Wewe ulikuwa unaangalia mpira upi??
 
Hebu acha kufunga watu wazima Kamba! Wewe ulikuwa unaangalia mpira upi??
Masa kila faulu ikichezwa wachezaji wote wanamvamia refa,i wish Colina angekuwa refa.Approach ya JM iliharibu game kabisa,nimeangalia El clasico zote hii ilikuwa mbovu kuliko zote
 
Masa kila faulu ikichezwa wachezaji wote wanamvamia refa,i wish Colina angekuwa refa.Approach ya JM iliharibu game kabisa,nimeangalia El clasico zote hii ilikuwa mbovu kuliko zote

Ulikuwa hata huoni zile pass 62 za Barca? Hata goli la pili la Messi nalo lilikuwa baya? Ama kweli kipenda roho hula nyama iliyooza...
 
Back
Top Bottom