Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Na we tukutegue niniTushajua dawa ya Salah....ni kumtegua hilo bega tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na we tukutegue niniTushajua dawa ya Salah....ni kumtegua hilo bega tu!
Hamna mrembo angalia page ya kwanza kuna maongezi nilikuwa nafanya na mleta uziAlikuwa anaangalia upepo
KajisahaulishaDaah[emoji23]
AiseeOyaa ray,shunie zungusheni round nakuja naenda kuongea na babe kidogo halftime hii...[emoji124][emoji124]
Nabadili uelekeo nitaenda jukwaa la ComplainsJukwaa la siasa watakushangaa lkn MMU watakupokea kwa mikono miwili,wanapenda hizo mambo
Shabiki maandazi[emoji23]Kajisahaulisha
Na mm naenda kucheza na babe kidogo nitarudiOyaa ray,shunie zungusheni round nakuja naenda kuongea na babe kidogo halftime hii...[emoji124][emoji124]
wakiendelea kudekadeka hivyo wataaibishwa mkuu.Yaani Liverpool wameyumba mnoo kutoka Salaah
Poa poa miye ngoja niongezee Bavaria hapa!Oyaa ray,shunie zungusheni round nakuja naenda kuongea na babe kidogo halftime hii...[emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa nguvuShabiki maandazi[emoji23]
Mimi mjanja kama RonaldoNa we tukutegue nini
[emoji6]Aisee
Meza analinda nani sasa shuniiii [emoji51]Na mm naenda kucheza na babe kidogo nitarudi