Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
alitaka afie uwanjani?ni hasira za kulazimika kuondolewa kwenye kikosi sababu ya injury yake
hahaha babu sala yako uliimanisha kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Ninaishi Dar ila akili zangu zipo Anfield...
Mungu wabariki majogoo wote duniani na mbinguni
hebu watag mods chief...Liver asipotwaa ubingwa leo naombwa nipigwe life ban humu ndani.
NB. Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa mashetani wekundu kutoka jiji la Manchester, huyu mtani wangu (Liverpool) leo nimejikuta maombi yangu ya yeye kufungwa yamegongwa mwamba hivyo naomba kusema leo mtani anashinda mapema saaana.
Hahahahahaha, you can't be serious mkuu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DuuuhKihalali ubao ulitakiwa usome 1-1.
Kijogoo kimnywewa supu jana hiyo hiyo usiku na pombe za Kirusi.Zile goli za jana za madrid zimeweka rekodi zote. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Poleni sana wazee wa vijogoo.
sio dharau ni kuonesha kuwa Laliga ni bora kuliko ligi zingine...Hizi ni dharau watachukuaje mara tatu mfululizo.
Jifunze kukubali matokeo,hao wote ni professionalNimeona watu wakitetea uhuni uliofanywa na Ramos jana kwa kisingizio cha cha mambo ya kawaida kwenye mpira, Labda kama mlianza kuangalia mpira jana lakini kwa tunaofutilia mpira tunawajua Ramos, Pepe na Marcelo hawajawahi kuwa waungwana kwenye soka. Lionel Mess amekua victim mkubwa wa uhuni unaofanywa na hao watu.
Ramos anaongoza kuwa na kadi nyekundu nyingi duniani, na ni kwa vile tu anachezea Madrid kwa papa Perez la sivyo angekua anakumbana na vifungo vikali zaidi vya soka. Tukemee kwa nguvu zote aina zile za uhuni kwani kila mtu anauweza sema tu watu wameamua kufuata sheria.
mamaee namchukia huyo mngese aliyenuna hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 787146