ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nilikua kazini lkn nilikua Namibia kwa mbali tv screen mechi ile ikiendelea kweli Madrid walipata bao lakini depotivo walisawazisha na kuongeza goli ikawa 2-1,
kutokea hapo refa ndio akazidi kuwa upande Wa Madrid, kawanyima penati Deportivo, Madrid wakacheza kibabe, Ramos kapiga ngumi mtu lakini hakupata walau njano, refa kawasaidia mpaka wakaforce goli madrid wakaongoza 3-2, akamaliza mpira
Nina imani sio mbali Real Madrid watatoka pale kileleni na kupisha wengine kwa kiwango kile.
kutokea hapo refa ndio akazidi kuwa upande Wa Madrid, kawanyima penati Deportivo, Madrid wakacheza kibabe, Ramos kapiga ngumi mtu lakini hakupata walau njano, refa kawasaidia mpaka wakaforce goli madrid wakaongoza 3-2, akamaliza mpira
Nina imani sio mbali Real Madrid watatoka pale kileleni na kupisha wengine kwa kiwango kile.