hahahaha zidane uyu n kama kocha fulani apa bongo
Kiukwel tokea real Madrid wamsajili curtois sijui jina nimepatia? Imekuwa real Madrid ikiruhusu magoal ya ovyo Sana kupitia huyu kipa naona laana ya mashabiki wa Chelsea inafanya kazi kwake lakini hata ukimuangalia Eden hazard ingawa aliondoka kwa amani Chelsea lakini kiwango chake ndani ya Madrid akilizishi na umri unazidi kwenda hazard wa Chelsea na team yake ya Taifa Belgium si huyu wa madrid.