Real Madrid wasipotwaa ubingwa nitawa-miss sana wana JF

mkuu kama JF ipo kenye damu basi huwezi iachacha muda wote huo..ID itapumzika then utatumia nyingine
 


Nenda kajinyonge sasa hivi kwani Liverpool inaifunga Madrid 4 - 1. Kama hutojiua kabla ya hapo basi rudi tena Jumamosi usiku uje kuniaga rasmi, ila ujumbe ndio huo. Liverpool 4 Madrid 1.
 
Kama Madrid atamfunga Liverpool na kutwaa kombe:-
-Nitatembea mtupu kama siku niliyokuja ulimwenguni
-Ninyolewe nywele zangu za kichwani zote na ndevu zangu waziondoe.
-Nimwagiwe oil chafu mwili mzima
-Mnitembeze mji wote huu wa Dar nikiwa kama nilivyo huku nikiimba CCM namba wani..

Bingwa Liverpool..
 
Nami nitakuwa nawe kwenye hiyo ban, kama liver atashinda.
 
Nani atakuwa na mda kukufanyia hayo
 
Hakika kiongozi,mimi nimesoma kama Madrid standing Liverpool Maria posa kwa Miss Natafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…