Reasons why I support Putin

Reasons why I support Putin

Acha kumbwel mbwela. Toa facts

Tunajua marekani ingharamia karibu huduma zote za VVU Tanzania. Ina missa mimgine mingi katika masual ya elimu na kilimo na demokrasia.
Write like a man.

Hata Putin hawezi kusoma huu uandishi.
 
Wewe bado premature. Endelea kujifunza.

Ila wenzio NATO Wala hawalalamiki kama unavyolalamika wewe maana wanajua wameenda nje ya makubaliano,na Kama Unadhani Ukraine ndiyo sababu ya Vita basi upo slow Sana kuelewa mwelekeo wa Dunia. Vita Ni ya Russia vs NATO & USA,Ukraine ni yule mtoto aliyetangulizwa mbele ili akamguse mbabe alafu yule mbabe akireact na kurudisha mapigo wahuni walioficha silaha zao nyuma ndiyo wanapata sababu ya kumtwanga yule mbabe. Propaganda za West zimewadhoofisha sana akili.
Kama vile Russia anavyosaidiwa na Hungary, Belarus , Iran na North Korea basi ni haki kwa Ukraine kusaidiwa na NATO na US
 
Go and dig deeper. There is no war in Ukraine.
So what is in Ukraine??

There was a illegal annexation of part of Ukraine by the sadist and murderer Putin. Ukraine is fighting to protect her territories like Tanzania did against the cannibal Idi Amin in 1978.
 
Back
Top Bottom