Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Mwanaharakati na Mwanajamii, Rebeca Gyumi, ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke Initiative anayefanya shughuli zake kwa ushirikiano na mashirika mbalimbali ikiwemo Umoja wa Mataifa (UN), amenasa kwenye skendo chafu baada ya kudaiwa kuiba wazo la kundi lake alipokuwa akifanyia kazi awali, TAMWA.
Mdau ambaye amewahi kushirikiana na Rebecca kwenye taasisi hiyo isiyo ya kiserikali, anadai wazo la Mwanamke Initiative lilibuniwa na team yao ambapo nguvu, juhudi na maarifa makubwa yalitumika na kila mwanakundi kuwa na matarajio makubwa kupitiamo, lakini kwa ubinafsi na 'ujanja wa mjini', binti huyo aliwazidi kete wenzie na kuchakachua proposal iliyoandikwa kisha kujinufaisha nayo binafsi.
Kama taarifa hizi ni za kweli, basi wizi huu wa kitaaluma sio sahihi na wenye tabia kama hizi waache kwa maana kunaua ndoto na morali ya washirika wenza..
Inawezekana kukawa kumefanyika kosa la kiufundi la "kuaminiana" kulikopitiliza ambako kulipelekea washirika wasisajili wazo hilo.. Iwe funzo.
Mdau ambaye amewahi kushirikiana na Rebecca kwenye taasisi hiyo isiyo ya kiserikali, anadai wazo la Mwanamke Initiative lilibuniwa na team yao ambapo nguvu, juhudi na maarifa makubwa yalitumika na kila mwanakundi kuwa na matarajio makubwa kupitiamo, lakini kwa ubinafsi na 'ujanja wa mjini', binti huyo aliwazidi kete wenzie na kuchakachua proposal iliyoandikwa kisha kujinufaisha nayo binafsi.
Kama taarifa hizi ni za kweli, basi wizi huu wa kitaaluma sio sahihi na wenye tabia kama hizi waache kwa maana kunaua ndoto na morali ya washirika wenza..
Inawezekana kukawa kumefanyika kosa la kiufundi la "kuaminiana" kulikopitiliza ambako kulipelekea washirika wasisajili wazo hilo.. Iwe funzo.