Recap: Ni kosa la kiufundi CHADEMA kumchagua Freeman Mbowe ambae tayari ni mjumbe wa Kamati kuu mpaka kufa na kumuacha Tundu Lissu bila cheo chochote

Recap: Ni kosa la kiufundi CHADEMA kumchagua Freeman Mbowe ambae tayari ni mjumbe wa Kamati kuu mpaka kufa na kumuacha Tundu Lissu bila cheo chochote

"Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama"
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Sahihi hii
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Mbowe hafai hata kuwa mjumbe wa kamati kuu
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Tatzo bei ya mkaa. Tatizo maslahi ruzuku miamala
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Huo ujumbe wa kamati kuu utamruhusu kupokea ruzukub kwneye akaunti yake binafsi?
Kwa maana saiv mbowe anachopambania ni ruzuku kwa ajili ya maisha yake ya uzeeni.
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Ni kweli wajumbe wawe makini
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Iwafikie wajumbe wote hii
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Fact
 
Back
Top Bottom