Recep Tayyip Erdoğan wa Turkey, tamaa yake ya kurudisha Ottoman Empire huenda ikamgharimu

Recep Tayyip Erdoğan wa Turkey, tamaa yake ya kurudisha Ottoman Empire huenda ikamgharimu

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Kwa wale msiojua Rais wa Turkey Recep Tayyip Erdoğan ni Islamist kindakindaki.

Kwa sasa Rais huyo kupitia chama chake cha Adalet ve Kalkınma Partisi, (AK Parti) ni muumini mkubwa wa Muslim brotherhood na hapo ndipo wanapokutana na Serikali ya Qatar ambayo ndiyo mfadhili mkubwa wa mbinu zote chafu za Muslim brotherhood huko nchi za magharibi.

Kuangushwa kwa Bashar al-Assad kumempa taamaa zaidi Edogan kuwa anaweza kupanua utawala wake hadi kufikia mipaka ya Israel.

Hata askari wake wamethubutu kusema tuliichukua Hagia Sofia ( ndani ya Uturuki) sasa tumeichukua Ummayya ya Syria na tutamalizia na Al Aqsa na Jerusalem.

Vile vile yeye Edogan mwenyewe ameapa kuwaangamiza Wakurdi ndani ya Syria.
Asichojua ni kwamba hao Muslim brotherhood anaojifungamanisha nao pia wanahatarisha tawala za Saudia Egypt, Jordan na UAE.

Halafu hiyo Israel anayoikamia kuiangamiza toka kuanza kuwekwa kumbukumbu ya historia hakuna Taifa lilifanikiwa kuwafutilia mbali.

Mwaka wa 1948 wakati Israel haina hata siku moja toka ijitawale na wala hawakuwa na jeshi lenye zana za kivita kihivyo, mataifa ya kiarabu matano yalipigwa.

Katika vita inayoendelea Iran ikiwa na proxies wake kusini, kaskazini na mashariki tena wakiwa na makombora mazito imegonga mwamba.

Na kwa bahati mbaya kule Marekani utawala uliokuwepo ( Democrat) ni ule ambao hauwaungi mkono kihivyo Israel.

Kwa sasa yupo mwamba ambaye hapepesi macho inapokuja kuiunga mkono Israel.

Edogan na ndoto zake za Ottoman Empire anakwenda kupotelea mbali
 
Israel nje ya Mataifa ya magharibi na Urusi enzi hizo ikiitwa USSR bila msaada wao ilikuwa isambaratishwe mbali.

Hata kipindi hiki msaada mkubwa wa askari na silaha imetoka magharibi ila sio wao wenyewe.

Wapo pale kwa manufaa ya magharibi basi hakuna kwingine.

We hujiulizi nchi ipo Asia ila inashiriki mambo ya ulaya
 
Acha propaganda.....anayesambaza vita na uasi ni IRAN na sio UTURUKI
HTS ni kikundi kilichokuwa kinalindwa na kufadhiliwa na Uturuki, Sasa endelea kujiangalia Uajemi na kuwaachia waatatuki Hawa makanjanja
 
HTS ni kikundi kilichokuwa kinalindwa na kufadhiliwa na Uturuki, Sasa endelea kujiangalia Uajemi na kuwaachia waatatuki Hawa makanjanja
Jolan muanzilishi wa hts ni mtu wa USA,ila uturuki nae katia mkono,atayeliwa hapo ni USA,mwisho wa siku jolan atakua na waislam wenzie kama taliban
 
HTS ni kikundi kilichokuwa kinalindwa na kufadhiliwa na Uturuki, Sasa endelea kujiangalia Uajemi na kuwaachia waatatuki Hawa makanjanja
Kwako wewe ASSAD alikuwa kwa ajili ya SYRIA au IRAN? IRAN iliiharibu SYRIA ili iweze kufikisha silaha kwa hezbolah
 
Israel nje ya Mataifa ya magharibi na Urusi enzi hizo ikiitwa USSR bila msaada wao ilikuwa isambaratishwe mbali.

Hata kipindi hiki msaada mkubwa wa askari na silaha imetoka magharibi ila sio wao wenyewe.

Wapo pale kwa manufaa ya magharibi basi hakuna kwingine.

We hujiulizi nchi ipo Asia ila inashiriki mambo ya ulaya
Taqqya yenu mliyofunzwa na kaallah wala haitawasaidia. Tuliwaambia Kamasi zinaondoka mkabisha; tukawaambia Hezbollah akijichanganya ataondoka mkabisha, mpaka akamsababishia Bashar Al-Assad naye kuondoka. Houthis anafuata na mwanzoni mwa 2025 Iran anafuata. Sasa mlivyo wapumbavu waabudu wa kaallah, Edogan naye anaingiza pua yake. Hamna atakaye msaidia ATAONDOKA
 
Ujerumani inaipa silaha za kisasa israel, bado uingereza maliza na mkuu wao marekani, huyo erdogan ataanzaje kuishambuli israel? Kumbukeni kuna military base ya marekani pale turkey, na turkey ni mwanachama wa NATO(?) Labda erdogan akafanye upuuzi wake kwa waarabu, akileta ushenzi hata waarabu watamnyuka, hawatakubali territory zao zitwaliwe
 
Ujerumani inaipa silaha za kisasa israel, bado uingereza maliza na mkuu wao marekani, huyo erdogan ataanzaje kuishambuli israel? Kumbukeni kuna military base ya marekani pale turkey, na turkey ni mwanachama wa NATO(?) Labda erdogan akafanye upuuzi wake kwa waarabu, akileta ushenzi hata waarabu watamnyuka, hawatakubali territory zao zitwaliwe
Ndg labda hauwajui hawa waabudu wa kaallah! Shetani akiwapanda kichwani wao hufanya yale ambayo kwa akili ya kawaida tu mtu hawezi fikiria
Sikia hapa wanachojiapiza

View: https://x.com/TurkishCentury/status/1871974821334241711
 
Israel nje ya Mataifa ya magharibi na Urusi enzi hizo ikiitwa USSR bila msaada wao ilikuwa isambaratishwe mbali.

Hata kipindi hiki msaada mkubwa wa askari na silaha imetoka magharibi ila sio wao wenyewe.

Wapo pale kwa manufaa ya magharibi basi hakuna kwingine.

We hujiulizi nchi ipo Asia ila inashiriki mambo ya ulaya
unazingua kusaidia tu haitoshi ww kushinda , wapehv credit zao wayaudi wannabebeka
 
Back
Top Bottom