Hivi Hoyce kashindwa kum keep mdogo ake? Na km kaolewa na mtumishi wa UN huyu Rachel anashindwa vipi kumaintan status ya mumewe km mke,
Uswahili gani wa kupitiliza hivyo, Anaboa sana, khaaaah.
Ila matusi huyu dada Woiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]