Una hasira za kishamba. Out of topic, unatokea kolomije au chato?Hapana labda wewe!
Ndio matako ni yangu kwani wewe una nini?
Wewe bwege sana aisee!
Hukunielewa nilivyo kueleza kwa hiyo hata niki kueleza tena ni waste of my time walahi [emoji35]
[emoji1645] nut case [emoji35]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Afu we dogo Maji matitu Kwa wastaarabu huyu wa manzese Kwa sisi Kwa sisi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka niseme hivyo huyu Rachel sio mzima kichwan.We huyu ushua kaupata juzi TU baada ya dad Ake kua miss na vile connection so unajua wachaga wanapendana wenzetu
Huyu mtoto wa Polisi kota TU kama Wengine
Ana stress huyu alidipotiwa US Kwa wizi alirudi na nguo na viatu TU
Malezi ya Rachel sijui amekulia wapi ana maisha mazuri sana sijui nikuambieje ila haachi jeuri na matusi,litamkuta jambo huyuu ipo siku yake
Hoyce Ndo anamlea huyuu dogo kumtetea upuuzi wake wa kudhalilisha watu plus kutukana, itawagharimu hii kitu
Huwezi kua na Dada balozi US afu kutwa kucha kutukanana na Lile danga lake UN lizeee Lina mahela balaaa Sema yule baba naona anaona Bora liende TU ila anachosha sana Rachel
Ana matatizo ya afya ya akili huyuu dada
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uzi umejaa chuki dhidi ya mwanadamu temuMdogo wa Balozi wetu huko ushuani anayewakilisha Taifa UN huko akamatwa Nchini Kenya, hivi tunavyoongea yupo lockup ana kesi sita nchini Kenya.
Baada ya kukamatwa leo huku nyumbani dada yake anahaha kutafuta njia ya kumtoa mdogo wake mikononi mwa Polisi. Ikumbukwe Recho amekimbia kesi huko Tanzania na amekimbia dhamana. Za ndani kabisa ni kuwa Balozi alikua akipiga simu kwa IGP kuomba msaada wa ndugu yake.
Mama yetu Samia Suluhu Hassan, watu wengi wamedhalilishwa na huyu binti anayejiita Diplomatic wife. Amekua akisaidiwa na dada yake kwa kutumia cheo ambacho umeona anafaa kukitumikia kwa maslahi ya nchi yetu lakini amekua akitetea uovu wa mdogo wake huku akitumia cheo chake kupokonya haki za wananchi kwa kumlinda mdogo wake.
Tunaomba Jeshi la Polisi kutekeleza wajibu wake ipasavyo kwa binti huyu pindi atakapofikishwa kwenye vyombo vya sheria nchini Tanzania.
Finally Recho Temu apatikana.View attachment 2497693View attachment 2497694View attachment 2497695View attachment 2497696