We huyu ushua kaupata juzi TU baada ya dad Ake kua miss na vile connection so unajua wachaga wanapendana wenzetu
Huyu mtoto wa Polisi kota TU kama Wengine
Ana stress huyu alidipotiwa US Kwa wizi alirudi na nguo na viatu TU
Malezi ya Rachel sijui amekulia wapi ana maisha mazuri sana sijui nikuambieje ila haachi jeuri na matusi,litamkuta jambo huyuu ipo siku yake
Hoyce Ndo anamlea huyuu dogo kumtetea upuuzi wake wa kudhalilisha watu plus kutukana, itawagharimu hii kitu
Huwezi kua na Dada balozi US afu kutwa kucha kutukanana na Lile danga lake UN lizeee Lina mahela balaaa Sema yule baba naona anaona Bora liende TU ila anachosha sana Rachel
Ana matatizo ya afya ya akili huyuu dada
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app