pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari za weekend wakuu,
Mashabiki wa yanga poleni sana ndo mpira na wale wa simba msishangilie sana maana kesho lolote linaweza kutokea pale taifa mungu atupe afya njema tufike tushuhudie siku hyo adhimu kutoka kwa wana lunyasi.
Ikiwa imepita siku moja toka vijana kutoka kwa Idi Amini waitie doa siku ya mwananchi ila Kocha mkuu wa yanga a.k.a professor takwimu zake zinatia mashaka sana akiwa na team ya yanga kwani amecheza michezo mitano ya kimataifa akiwa kocha mkuu wa yanga hajashinda hata mechi moja zaidi ya kuambulia droo na vipigo.
Mara ya mwisho yanga kushinda mechi ya kimataifa hata ya kirafiki ni mwaka 2009 toka hapo ni mateso tu kwa wananchi angalia records za yanga hapa chini:–
[emoji1241] 1-3 Township rollers [emoji1052]
Township rollers [emoji1052] 1-1 Yanga [emoji1241]
ZESCO [emoji1268] 2-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 2-2 ZESCO [emoji1268]
Yanga [emoji1241] 1-2 Pyramids FC [emoji1093]
Pyramids FC [emoji1093] 3-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 0-1 Rivers United [emoji1184]
Rivers United [emoji1184] 1-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 1-2 Zanaco [emoji1268]
Yanga [emoji1241] 1-1 Atlabara [emoji1223]
Yanga [emoji1241] 0-2 Express [emoji1254]
Yanga [emoji1241] 0-0 Somalia U18 [emoji1220]
Yanga [emoji1241] 0-2 Vipers FC [emoji1254]
NB: KIMATAIFA SI KWA AJILI YA KILA MTU, WENGINE MKUBALI TU HUKU SIO UBAVU WENU NA NDOMAANA HATUCHEKI MAANA TUMEZOEA HALI YENU.
Mashabiki wa yanga poleni sana ndo mpira na wale wa simba msishangilie sana maana kesho lolote linaweza kutokea pale taifa mungu atupe afya njema tufike tushuhudie siku hyo adhimu kutoka kwa wana lunyasi.
Ikiwa imepita siku moja toka vijana kutoka kwa Idi Amini waitie doa siku ya mwananchi ila Kocha mkuu wa yanga a.k.a professor takwimu zake zinatia mashaka sana akiwa na team ya yanga kwani amecheza michezo mitano ya kimataifa akiwa kocha mkuu wa yanga hajashinda hata mechi moja zaidi ya kuambulia droo na vipigo.
Mara ya mwisho yanga kushinda mechi ya kimataifa hata ya kirafiki ni mwaka 2009 toka hapo ni mateso tu kwa wananchi angalia records za yanga hapa chini:–
[emoji1241] 1-3 Township rollers [emoji1052]
Township rollers [emoji1052] 1-1 Yanga [emoji1241]
ZESCO [emoji1268] 2-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 2-2 ZESCO [emoji1268]
Yanga [emoji1241] 1-2 Pyramids FC [emoji1093]
Pyramids FC [emoji1093] 3-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 0-1 Rivers United [emoji1184]
Rivers United [emoji1184] 1-0 Yanga [emoji1241]
Yanga [emoji1241] 1-2 Zanaco [emoji1268]
Yanga [emoji1241] 1-1 Atlabara [emoji1223]
Yanga [emoji1241] 0-2 Express [emoji1254]
Yanga [emoji1241] 0-0 Somalia U18 [emoji1220]
Yanga [emoji1241] 0-2 Vipers FC [emoji1254]
NB: KIMATAIFA SI KWA AJILI YA KILA MTU, WENGINE MKUBALI TU HUKU SIO UBAVU WENU NA NDOMAANA HATUCHEKI MAANA TUMEZOEA HALI YENU.