Pita Pale Kuna Kampuni Ipo Jirani Na Bunge Wao Tshs 45000/= Shabiby Kuna Kampuni Wao Tshs 35000/=Aahahahahhaaa I know...
Na maana yangu kuchukua lita 20......
The longer/older the wine, the sweeter it gets ππ
Hiyo itanywewa kidogo kidogo hadi uchaguzi ujao π .
Kwakweli hata mimi tangu niache POMBE kinywaji changu pendwa ni wine. Mi napiga zote red au white mradi iwe sweet. π·Hizo za hivyo siziwezi...
Sugar Sukari ndo mpango mzima ....π
Dodoma Tele Utajizolea Ukilala Unaweka Gallon Uvunguni Mwa Kitanda Unachomeka Mrija Unanyonya TaratibuAsante kwa dondoo, ntazifanyia kazi kulingana na mahitaji yangu. ππ
bado kishundu kipoπ,mimi siku moja nakuletea wine na red rose pembeni kuonesha upendo,hiyo siku sipati picha nyuzi utakazo nifungulia humu zikiambatana na ma copa copaAahahahahaaaa mmekosea, hakunanga trela wala semi tera...π
View attachment 1952776
Bi Kasinde miaka 20 iliyopita....!
View attachment 1952778
Bi Kasinde (kushoto) wiki mbili zilizopita.
i will,on monday evening nitaipiga then nilete mrejesho,ma whsky yamenishinda inabidi nianze ku deal na winesYes.... Try it someday, hutojutia.
Kwakweli hata mimi tangu niache POMBE kinywaji changu pendwa ni wine. Mi napiga zote red au white mradi iwe sweet. π·
Hombolo Nako Inatengenezwa Sana Hata Mpunguziππππ thanks for the notification that wine π· is not alcohol πΊπ.
Iβll keep on seeping red sweet wine while I last...
Haa Haa Haa Haa Haa Haa Haa HaaAahahahahahaaa
Kunyonya raha sana, sema ntaogopa kupaliwa kausingizi kakishika hatamu π.
Hivi kasie ni ke au meIts all about love.....![emoji3589]
Iko hivii....
Kuna mahala nilienda kwenye shughuli ya kiofisi, baada ya ziara kuisha tukatembezwa kwenye karakana kuona uzalishaji...
Muda ukawa umeisha tukiwa tunajiandaa kuondoka tukaulizwa kila mtu aseme anachotumia tunapewa zawadi. Mie nikasema naomba Red Sweet Wine...
Kiufupi sipendi vitu vichungu, basi nikafika nyumbani nikajiswafi tupiamo nyama nusu kilo kisha nikavaa kivazi cha kuishusha Red Sweet Wine.....!
Looh, haikuwa tamu kama nilivyotarajia... ina uchungu sasa nikasema hiyo sweet wanamaanisha nini...?!
View attachment 1952756
My favourate wine is Pear Bay Rose- Red Sweet Wine.
Nikiinywa ni tamu na kachupa kanaisha ndani ya wakati nikiwa nalisakata rhumba.
View attachment 1952758
My other favourates are Amarula, Alta na nyingine nimeisahau jina iko kwenye chupa ina hips za duara chini halafu juu mdomo mwembamba [emoji12].
Please wine manufacturers, if it doesnβt taste sugar donβt name it sweet.
Sugar is Love.
I love Sugar which is Love not the Cane Sugar[emoji28].
Mahaba Matata....
Salted Eyes [emoji7].
Jaribu imetulia sana!! Hata kabei kamechangamka kidogoHiyo sijawahi ikunywa, am not good on tasting Ila kama ina utamu kama Altar Wine, then itaongezeka kwenye list yangu ya vitamtam.
Kama ni mtu wa wine za africa kusin na kwamba wine aina dompo hazipandi bas usijaribu hizo za lita 5 elf 25 utaijutia hela yako! Lakini unaweza tu kujaribu kwanza..Ooh asante kwa taarifa. Nikipita maeneo hayo ntachukua lita 20 zenye utamu [emoji28].
Kumbe wine ni wine na bia ni pombe eenh? Au konyagi ni konyag[emoji2957][emoji2957]Kwakweli hata mimi tangu niache POMBE kinywaji changu pendwa ni wine. Mi napiga zote red au white mradi iwe sweet. [emoji485]