CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #21
Mkuu umetisha, hiyo kitu ni ya mhimu sana. Tupia link ya video humu ili wale tusiokuwa na whatsap tuipate hapa.
Namaanisha hybreed red worm sasa nyie subilia hao wa whatsap tatizo letu wabongo tunapenda miteremko kupita kiasi hili ndo tatizo letu kubwa na si kingine