BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Usitumie pombe yoyote.Sawa mkuu nimekuelewa but nilikua natumia kipindi siko mjamzito tangu niwe mjamzito sijawahi tumia ndo maana nikauliza ili nijue kama ni sawa kutumia hata katika kipindi hiki au lah,i real care.
Thank you for your advice,hao samaki wenye zebaki ni kama samaki gani?Usitumie pombe yoyote.
Kula chakula bora ikiwemo samaki kwa wingi (wasio na zebaki) ....
mboga za majani
Nyama ... matunda....nk nk
Maji kwa sana
Bilq kusahau beetroot ili kuongez damu
Okay i will never do itNever n ever.... Try kuwa royal kwa bby!!
okayReds inatengenezwa kutokana na mchanganyiko wa sodium benzoeti,malic acid,caramel,methanol na apple flavor so hapo angalia hayo madhara ya kimoj kimoja ndo utajua madhara yake kwa ujauzito.
Wasio na zebaki ndo kasema nitumie that's why nimeuliza hao walio na zebaki ni wapi ili niweze tambuaaa.Amesema samaki WASIO na zebaki...even though ni ngumu kuwajua...
Ukilipia, lipa double na mie πππwe dada ukijifungua nitaomba nimuone mtoto wako hata kwa kulipia au hata kuwa baba mlezi
usijali mimi nipo nitakushika mkono twende woteUkilipia, lipa double na mie πππ