Uchaguzi 2020 REDET kutoa Taarifa ya Utafiti kesho?

REDET wachumia TUMBO ,Mmoja wapo kashalamba SHAVU balozi Naijeria "BUNSEN BURNER".
 
Hiyo ni yao Lumumba. Sio ya wananchi

Pombe mwenyewe analia "kwa nini mnataka kuninyima mitano tena, mbona wenzangu waliopita mliwapa"

Hii kauli ni dhahiri Pombe kasoma upepo sio kwa upande wake
Mwambieni kuwa walipewa mihula yote kwani hawakuonea watu.
 
REDET NI HIS MASTERS VOICE, Collaborator wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…