Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Wana JF,
REDET walichakachua tathimini ya utafiti walio ufanya yakuwa JK alikuwa anaongoza kwa kura za maoni na kumbe ukweli huwa haujifichi jamani ni kuwa Dr. Slaa alikuwa anaongoza na JK akafuatia, Na tathimini hizo zilipelekwa IKULU kama zilivyo na baadae jopo hilo la REDET lika kaa na kuchakachua matokeo hayo na kumpa JK ushindi.
Mbaya zaidi ni matokeo ya Zanzibar, CCM kule ilibwagwa kwa aibu kubwa sana na REDET kwa makusudi kabisa yaliyoamliwa na kuto tangaza hizo tathimini za kutoka Zanzibar, kwanini? nikwa ajiri ya kuepusha shari na kufuata utaratibu ambao tiyari ulisha wekwa wa serikali yao ya kuunda serikali ya pamoja na upinzani.
REDET walichakachua tathimini ya utafiti walio ufanya yakuwa JK alikuwa anaongoza kwa kura za maoni na kumbe ukweli huwa haujifichi jamani ni kuwa Dr. Slaa alikuwa anaongoza na JK akafuatia, Na tathimini hizo zilipelekwa IKULU kama zilivyo na baadae jopo hilo la REDET lika kaa na kuchakachua matokeo hayo na kumpa JK ushindi.
Mbaya zaidi ni matokeo ya Zanzibar, CCM kule ilibwagwa kwa aibu kubwa sana na REDET kwa makusudi kabisa yaliyoamliwa na kuto tangaza hizo tathimini za kutoka Zanzibar, kwanini? nikwa ajiri ya kuepusha shari na kufuata utaratibu ambao tiyari ulisha wekwa wa serikali yao ya kuunda serikali ya pamoja na upinzani.