REDIFINE AFRICA achenj utapeli

REDIFINE AFRICA achenj utapeli

ranjan

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
338
Reaction score
288
Kwanza kabisa serikali ingeingilia kati hizi kampuni uchwara zinazovaa mwamvuli wa kufanya research zinazoibuka from know where na kutapeli watoto wa watu, kwa kuwafanyisha kazi kwa shida bila kuwapa malipo baada ya kumaliza kazi.

REDIFINE AFRICA huwafanyisha kazi watoto wa kike kwa makubaliano ya kuwalipa nauli za Kila siku na malipo baada ya kazi ,kufanyika ndani ya mwezi mmoja.

Cha kushangaza kazi inapoanza huwaambia watu watumie nauli zao kwa makubaliano watarudisha ,na kazi inapomalizika , mabosi hawapokei simu, hawafanyi malipo hata baada ya miezi minne kupitia. Hivi huu si ni utapeli?

Kwa Nini huwafanyie hivyo watu waliojitolea kukufanyia.kazi na wewe ukapata pesa ,alafu uamue kuwadhurumu ?

NB: CLIENTS MNAOFANYAKAZI NA WATU HAWA FUMBUENI MACHO, MNAFANYA KAZI NA MATAPELI
 
Daah maskini pole yao waliotapeliwa
 
Eleza ueleweke umetapeliwa wewe au mkeo?maana wewe wakiume na umeswma inawapa kazi watoto wakike tu.
 
Hii kampuni Wana tabia hii ya kudhulumu watu , unaweza ukafanya kazi ,baada ya malipo wanakulipa kisichostahili. yaani mtu akufanyie kazi alafu umuweke miezi mitano hujamlipa, huu ni uuaji
 
Mkipigwa kipapai muanze kulalamika
 
Kama ni project ya Wahindi, Wachina au Wazungu hapo Serikali haitawafanya chochote.

Inaumiza sana
 
Back
Top Bottom