Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Ujinga ni mzigo, fanya juhudi ya kujifunza (kutafiti) jambo kabla hujaenda public.Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Si mna TV imaan mnaacha inajifia unatamani radio Maria inayoendeshwa kwa sadaka za waumini wao wawaenezee dini yenu? Nyie watu ni misplaced organism.... mnashangaza sana!Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Fungua ya kwako hao wa dini waachie redio Yao!Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Sasa ulitaka wapige qaswida amaRadio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Watu bana. Unajua malengo ya kuanzishwa kwake au unabwabwaja tu siku iende.Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Kila jambo huanzishwa kwa kusudi lake,Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee