Redio maria acheni udini, nyie kutwa kutwa mambo ya dini ya ukristo na kwaya tu?

Redio maria acheni udini, nyie kutwa kutwa mambo ya dini ya ukristo na kwaya tu?

Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Na ile ZBC ya serikali kutwa nzima dini ya kiisilamu!
 
Mbona radio zenu kila siku kumzungumzia allah wenu, acha bangi na malalamiko
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Hivi una kingamuzi cha Azam Tv ? Kama unacho linganisha na radio Maria.
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Inawezekana iko kwenye majaribio, hata hivyo mbona station za radio ziko nyingi labda kifaa chako inapatika radio maria tu
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Unalalamika nini?
. Hao hawahubiri dini, wanahubiri imani yao.

Ukitaka dini nenda kwa wenye dini, Uislam.
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Ukielewa hiyo redio inamilikiwa na nani, ilianzishwa Kwa madhumuni gani na inaendeshwa Kwa gharama za kina nani naamin utarudi Kuja kutuomba radhi wasomaji na utaufuta huu Uzi.
 
Kuna ule uzi wa jamaa alisema Radio Imaan ina watangazaji wachache wadau wakadai hata shift hao hawapeei na kuna ukata wa fedha waumini wagumu kuchangia.
Inahusiana nini na hii mada?
 
Karibu Ulamaa Hapa Morogoro Usikilize, Utazame, Usome
Kupitia Vyombo Vyetu Pendwa Imaan Utapata Dufu Nzuri Zikuburudishe
Radio Imaan
Television Imaan
Gazette Imaan
 
Kwanini unaisikiliza ? Kungekuwa hakuna choice ningekuelewa ila sidhani kama mawimbi yamekwisha hata wewe leo ukitaka kuanzisha redio ya kukaa kimya bila sauti naweza utaweza...
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
images (19).jpeg
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Tumsifu Yesu Kristu.
 
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee

Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Kawaambie Radio Imani waache mawaidha ya kiislamu.
 
Back
Top Bottom