Mpenda vurugu
Member
- Apr 7, 2024
- 98
- 621
Na ile ZBC ya serikali kutwa nzima dini ya kiisilamu!Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Hivi una kingamuzi cha Azam Tv ? Kama unacho linganisha na radio Maria.Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Inawezekana iko kwenye majaribio, hata hivyo mbona station za radio ziko nyingi labda kifaa chako inapatika radio maria tuRadio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Unalalamika nini?Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Ukielewa hiyo redio inamilikiwa na nani, ilianzishwa Kwa madhumuni gani na inaendeshwa Kwa gharama za kina nani naamin utarudi Kuja kutuomba radhi wasomaji na utaufuta huu Uzi.Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Inahusiana nini na hii mada?Kuna ule uzi wa jamaa alisema Radio Imaan ina watangazaji wachache wadau wakadai hata shift hao hawapeei na kuna ukata wa fedha waumini wagumu kuchangia.
Zote ni redio za imani. Au unadhani unasoma uzi wa dawa za mifugoInahusiana nini na hii mada?
Mweleweshe, asipoelewa tumuite mpumbavu.Unaelewa hata maudhui ya hiyo radio?
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Tumsifu Yesu Kristu.Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee
Kawaambie Radio Imani waache mawaidha ya kiislamu.Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa kuisikiliza sio kubase kwenye dini moja tu aisee mnakera sana aisee
Mtanirekebisha kama ni radio ya dini maana sijajua aisee kwasababu leo ndio nimeisikiliza nikiwa kwenye daladala! Mtanirekebisha aisee