Redio ya Cassette Old School inauzwa

Redio ya Cassette Old School inauzwa

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
Screenshot_20241031-105035.png
 
Mkuu natafuta radio ya Panasonic casset ninunue kama ukumbusho wa family mzee alikuwa ananipenda sana. Zile Kanda zake ninazo nimebahatila kuzitunza tatizo ni hiyo caset asee.

Zipo Zina mfumo wa kama radio kawaida zilikuwa zinatumika beterry 6 kama sikosei. Hii hapana hakuwahi nunua ya namna hii mzee wangu
 
N
Mkuu natafuta radio ya Panasonic casset ninunue kama ukumbusho wa family mzee alikuwa ananipenda sana. Zile Kanda zake ninazo nimebahatila kuzitunza tatizo ni hiyo caset asee.

Zipo Zina mfumo wa kama radio kawaida zilikuwa zinatumika beterry 6 kama sikosei. Hii hapana hakuwahi nunua ya namna hii mzee wangu
Ndio hii mkuu nauza njoo pm
 
Ww Kama sio lijendi huwezi elewa izi vitu.....
Mimi nipo tangia enzi za santuri lakini swali la mdau lipo valid sana..., kama hizo magnetic cassettes sasa hivi hazipo hicho chombo kina faida gani zaidi ya pambo ? Tena pambo lenyewe linachukua nafasi..., yaani ukubwa wa hilo dubwasha kwa teknolojia ya sasa unaweza kutengeneza mtambo wa kurusha matangazo dunia nzima....
 
Mkuu hiyo inafanya kazi au ilishakufa?

Hizo huwa nazitafuta kwa ajili ya kunyonya nyimbo zilizokwenye cassette/kanda kuziweka katika mfumo wa sasa.
 
Mimi nipo tangia enzi za santuri lakini swali la mdau lipo valid sana..., kama hizo magnetic cassettes sasa hivi hazipo hicho chombo kina faida gani zaidi ya pambo ? Tena pambo lenyewe linachukua nafasi..., yaani ukubwa wa hilo dubwasha kwa teknolojia ya sasa unaweza kutengeneza mtambo wa kurusha matangazo dunia nzima....
1..Anataka awe nayo TU Kama kumbukumbu ( akiiona inamkumbusha mambo yake ya zamani, pengine mzazi, au matukio flani flani )

2.... cassette watu wanazo wametunza ( pengine km kumbukumbu pia ).....mfano mrahisi huyu Nikifa MkeWangu Asiolewe kaongea hapo Juu kwenye comment
 
1..Anataka awe nayo TU Kama kumbukumbu ( akiiona inamkumbusha mambo yake ya zamani, pengine mzazi, au matukio flani flani )

2.... cassette watu wanazo wametunza ( pengine km kumbukumbu pia ).....mfano mrahisi huyu Nikifa MkeWangu Asiolewe kaongea hapo Juu kwenye comment
Sahihi kabisa na sio casset pekee yake hata zile kanda zake. hapa nimetunza saba.
zinatosha kama kuwapa mifano hai wajukuu zangu na hata watoto pia.
 
Back
Top Bottom