Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Redio toka awilo longomba hajawa na ndoto za kufanya mziki hadi leo bado ipo?Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamaniView attachment 3139684
Hahahaha....zipo na zinatwanga mbayaRedio toka awilo longomba hajawa na ndoto za kufanya mziki hadi leo bado ipo?
Ww Kama sio lijendi huwezi elewa izi vitu.....sasa hizo cassete atanunua wapi
Ipeleke Makumbusho ya TBC pale wanaichukua haraka sanaHahahaha....zipo na zinatwanga mbaya
kipi sijaelewa hapoWw Kama sio lijendi huwezi elewa izi vitu.....
Na hizo kreti pia zipo sokoniMwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
Hiyo ni sura ya mbele ya redio ila body hakuna hebu igeuze tuone vizuri!Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
Ndio hii mkuu nauza njoo pmMkuu natafuta radio ya Panasonic casset ninunue kama ukumbusho wa family mzee alikuwa ananipenda sana. Zile Kanda zake ninazo nimebahatila kuzitunza tatizo ni hiyo caset asee.
Zipo Zina mfumo wa kama radio kawaida zilikuwa zinatumika beterry 6 kama sikosei. Hii hapana hakuwahi nunua ya namna hii mzee wangu
Hii hapana mkuu ipo nyingine natafuta picha yake niitume hapa.N
Ndio hii mkuu nauza njoo pm
Mnaifunga biashara ya baa! Sasa sisi majirani zenu tukanywe wapi?Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
Mimi nipo tangia enzi za santuri lakini swali la mdau lipo valid sana..., kama hizo magnetic cassettes sasa hivi hazipo hicho chombo kina faida gani zaidi ya pambo ? Tena pambo lenyewe linachukua nafasi..., yaani ukubwa wa hilo dubwasha kwa teknolojia ya sasa unaweza kutengeneza mtambo wa kurusha matangazo dunia nzima....Ww Kama sio lijendi huwezi elewa izi vitu.....
1..Anataka awe nayo TU Kama kumbukumbu ( akiiona inamkumbusha mambo yake ya zamani, pengine mzazi, au matukio flani flani )Mimi nipo tangia enzi za santuri lakini swali la mdau lipo valid sana..., kama hizo magnetic cassettes sasa hivi hazipo hicho chombo kina faida gani zaidi ya pambo ? Tena pambo lenyewe linachukua nafasi..., yaani ukubwa wa hilo dubwasha kwa teknolojia ya sasa unaweza kutengeneza mtambo wa kurusha matangazo dunia nzima....
Inafanya kazi vizuri kabisaMkuu hiyo inafanya kazi au ilishakufa?
Hizo huwa nazitafuta kwa ajili ya kunyonya nyimbo zilizokwenye cassette/kanda kuziweka katika mfumo wa sasa.
Sahihi kabisa na sio casset pekee yake hata zile kanda zake. hapa nimetunza saba.1..Anataka awe nayo TU Kama kumbukumbu ( akiiona inamkumbusha mambo yake ya zamani, pengine mzazi, au matukio flani flani )
2.... cassette watu wanazo wametunza ( pengine km kumbukumbu pia ).....mfano mrahisi huyu Nikifa MkeWangu Asiolewe kaongea hapo Juu kwenye comment