Redio zetu zimetawaliwa na vipindi vya michezo

Redio zetu zimetawaliwa na vipindi vya michezo

Congo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
2,081
Reaction score
2,325
Radio Tanzania kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.

Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.

Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]

Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu
 
Radio Tanzania.. kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo [emoji2]
yani unaangalia mechi azam tv.. iliisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi.. then unahamishia clouds unasikiliza.. then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua. masaa matatu. mchana ETV wanachambua masaa matatu...mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]

Misha ya Tanzania Bara ni michezo tuuuuuuii
Radio nyingi zinamilikiwa na wasanii wasio na elimu ya darasani. Wanadhani maisha ni michezo na sanaa tu.
 
Radio Tanzania.. kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo [emoji2]
yani unaangalia mechi azam tv.. iliisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi.. then unahamishia clouds unasikiliza.. then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua. masaa matatu. mchana ETV wanachambua masaa matatu...mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]

Misha ya Tanzania Bara ni michezo tuuuuuuii
Walianzisha clouds segment ya michezo kwenye kila kipindi, kila redio ikaiga.
Any way wanawapa watu wanachopenda.
 
Radio nyingi zinamilikiwa na wasanii wasio na elimu ya darasani. Wanadhani maisha ni michezo na sanaa tu.
Wanafanya biashara na wamelenga audience yao. Zipo redio kama TBC, redio one, hazina haya mambo lakini bado watu wanasikiliza hizo unazosema zinamilikiwa na wasanii wasio na elimu
 
Na umejuaje kama ni mizaha inafanyika wakati hujasikiliza Radio kwa miaka mingi sana?

Hujui hata kijana Privaldinho huwa anaongea nini au George Ambangile
Redio zetu hazina programs na contents nzuri, they are neither informative nor educative. Watangazaji ni mburura hawana elimu ya darasani wala maarifa ya kijamii. Jamii inalishwa vitu vya kijinga na hakuna control ya contents na maudhui yake.

Regulator anazuia ngono na matusi tu. Kimsingi, tume fail sana kwenye hili eneo.

Tujitafakari kama taifa.
 
Wanafanya biashara na wamelenga audience yao. Zipo redio kama TBC, redio one, hazina haya mambo lakini bado watu wanasikiliza hizo unazosema zinamilikiwa na wasanii wasio na elimu
Huyo Audience ndio ya wajinga!

Mtu asubuhi muda wa kufanya kazi unajikita kusikiliza michezo
 
Radio Tanzania.. kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo [emoji2]
yani unaangalia mechi azam tv.. iliisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi.. then unahamishia clouds unasikiliza.. then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua. masaa matatu. mchana ETV wanachambua masaa matatu...mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]

Misha ya Tanzania Bara ni michezo tuuuuuuii
Umeleta jambo ambalo binafsi limekua likinikera sana na mara nyingi siwezi kusikiliza Radio sababu ya kero hii

Radio zinatangaza vipindi vya michezo muda mrefu sana na tena Radio zote zinatangaza kwa wakati mmoja. Ukihama clouds uende RFA unakuta kipindi hicho hicho

Tatizo hili lipo kwa kiwango hicho hicho kwenye TV pia
 
Huyo Audience ndio ya wajinga!

Mtu asubuhi muda wa kufanya kazi unajikita kusikiliza michezo
Watu wanatofautiana muda wa kufanya kazi, basi kwa mantiki hiyo basi vituo vya redio visirushe kabisa matangazo asubuhi kwasababu watu wanafanya kazi.

Naona umetumia same reasoning iliyotumika kuzuia bunge live eti mida hiyo watu wanafanya kazi muda wa kutazama tv wanautoa wapi.
 
Umeleta jambo ambalo binafsi limekua likinikera sana na mara nyingi siwezi kusikiliza Radio sababu ya kero hii

Radio zinatangaza vipindi vya michezo muda mrefu sana na tena Radio zote zinatangaza kwa wakati mmoja. Ukihama clouds uende RFA unakuta kipindi hicho hicho
Vipi TBC?
 
Back
Top Bottom