Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Radio Tanzania kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.
Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.
Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.
Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]
Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu
Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.
Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.
Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi [emoji2]
Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu