Refa aliewanyima goli Yanga kwenye mechi yake na Medeama, hawezi chukuliwa hatua?

Refa aliewanyima goli Yanga kwenye mechi yake na Medeama, hawezi chukuliwa hatua?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.
 
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.
Mwamuzi wa Kati hahusiki na offside. Yeye labda aadhibiwe Kwa kushindwa kutafasiri sheria tukio la rafu dhidi Kibabage.
 
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.
Tuna la kujifunza kwamba mechi za nyumbani tunashindwa kwa uzembe wetu wenyewe yaani refa unampokea mwenyewe unamtafutia malazi nakadhalika yaani unashindwa kumchangamsha akili na mwili ? uwanja wetu wenyewe km wachawi mnaosema wapo wakwenu wanafanya kazi gani km wapo hahaha [emoji1787]
 
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.
Mchukulie nyie hatua na wazee wa jangwani na zenji
 
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.
Hawezi
 
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside?

Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika?

Kwa maneno mengine, utaratibu ukoje au ni mpaka Yanga wawasilishe malalamiko rasimi ndio yafanyiwe kazi?

Huyu refa ni wa kufungiwa kabisa..

Sheria hii ya hovyo sana, ila ni nzuri pale inapokubeba.

Mkuu mi mwenyewe niliumia,
Ila Hata akifingiwa Goli halirudi,Yaani matokeo hayabadiliki sasa ina Faida gani???[emoji30][emoji30]
 
Umeumbuka.

Soma hapa:

 
Back
Top Bottom