Refa alikuwa sahihi katika mchezo wa Simba vs mwarabu ..

Refa alikuwa sahihi katika mchezo wa Simba vs mwarabu ..

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Nimejaribu kupitia sheria kuhusu dakika za nyongeza lakini ki uharisia na sheria refa yupo sahihi kwa 100%
.someni na nyie kanuni za fifa nimeweka hapa chini
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-214411.png
    Screenshot_20241215-214411.png
    393.9 KB · Views: 4
Leo nimecheka mno.
Hii tabia ya kihuni ya kulala lala ya waarabu kwa leo tumefaulu kukomesha.

Azam aliwahi kufanyiwa uhuni na Timu fulani ya Libya akiwa kwake..Azam alihitaji matokeo ya 3-0 ili asonge mbele.

Mpaka half time Azam alikuwa anaongoza 2-0 tayari...

Aiseee, kipindi cha pili mechi ilichezwa dakika 28 tu badala ya 45+

Ilifikia hatua hadi wachezaji 4 wote wamelala chini wanaugulia maumivu feki..na machela ikija hawataki kutoka.
 
Nimejaribu kupitia sheria kuhusu dakika za nyongeza lakini ki uharisia na sheria refa yupo sahihi kwa 100%
.someni na nyie kanuni za fifa nimeweka hapa chini
Utopolo wanaojua ni wawili tu bila shaka hao wamekuelewa.Waliobaki hata kama wana PhD wote ni manyumbu tu.
Mashabiki wa nyuma mwiko wengi ni kasongo!
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Leo nimecheka mno.
Hii tabia ya kihuni ya kulala lala ya waarabu kwa leo tumefaulu kukomesha.

Azam aliwahi kufanyiwa uhuni na Timu fulani ya Libya akiwa kwake..Azam alihitaji matokeo ya 3-0 ili asonge mbele.

Mpaka half time Azam alikuwa anaongoza 2-0 tayari...

Aiseee, kipindi cha pili mechi ilichezwa dakika 28 tu badala ya 45+

Ilifikia hatua hadi wachezaji 4 wote wamelala chini wanaugulia maumivu feki..na machela ikija hawataki kutoka.
Waarabu huwa Wana upumbavu mwingi sana
 
Mkiwa mna wahonga Marefa muwape na Helmet kujikinga na Magumi ya wapinzani maana si wapinzani wote wataweza vumilia upuuzi wa filimbi za upande mmoja.
 
Mkiwa mna wahonga Marefa muwape na Helmet kujikinga na Magumi ya wapinzani maana si wapinzani wote wataweza vumilia upuuzi wa filimbi za upande mmoja.
Week ya maumivu hii, Poleeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mkiwa mna wahonga Marefa muwape na Helmet kujikinga na Magumi ya wapinzani maana si wapinzani wote wataweza vumilia upuuzi wa filimbi za upande mmoja.
Chomoa kama inauma.Maumivu uliyonayo hata watunisia hawana Maumivu yakizidi muone daktari kwa ushauri zaidi.
 
Chomoa kama inauma.Maumivu uliyonayo hata watunisia hawana Maumivu yakizidi muone daktari kwa ushauri zaidi.
Wakati mnashauriwa msivae Sanda mliona watu Wana waonea wivu, Aya ndio Matokeo yake.
Mtaenda kuchezea Karume Sasa mechizenu za shirikisho.
 
Wakati mnashauriwa msivae Sanda mliona watu Wana waonea wivu, Aya ndio Matokeo yake.
Mtaenda kuchezea Karume Sasa mechizenu za shirikisho.
Endelea kuota lakini usisukume mavi usije ukajinyea.
Hiyo ndoto peleka kwa wavimba macho wenzako.
Jifunze kuandika "Aya" ndio lugha gani?Kikwenu?
 
Ukiona ulewi kinacho andikwa achana na bandiko, Mimi si Mwalimu wa kufundisha Mbumbumbu.
Kama Rage Ali thibitisha u mbumbumbu wenu nani ata waweza!!
 
Ukiona ulewi kinacho andikwa achana na bandiko, Mimi si Mwalimu wa kufundisha Mbumbumbu.
Kama Rage Ali thibitisha u mbumbumbu wenu nani ata waweza!!
Manara aliweka wazi wenye akili ni wawili tu huko Utopolo. Sishangai hata kuandika tu unashindwa.Wewe uwe mwalimu hata vichaa watakufukuza!
 
Back
Top Bottom