hiyo goli-kona ilikuwa mechi na coastal union, hahahha metacha kadaka ikamshinda kaingia nayo kwenye mwamba hadi kwenye nyavu refa kasema kona!Sasa mbona hawakulalamikia kona?wangegomea kona sasa....utopolo mnakuwa mnasahau haraka sana,mshasahau game ya azam ya ligi mlipewa goli la ajabu mtu kaenda kuupiga krosi mpira uliokuwa nje ya uwanja tena karibu na mabango kabisa....
Kuna siku mlifungwa goli refa akasema kona[emoji23]na mkaenjoy kenge nyie...
YAANI MPAKA MSEMEEEEEE
alikuwa mbali kwenye kona ya mashariki, tukio linafanyika kona ya magharibi atajuaje kuwa mpira umeguswa na mchezaji wa singida?? hilo ni eneo la refa wa kati wewe pimbi mwenye mwiko nyumaMshika kibendera aliamua kipi?
wewe kenge mwenye mwiko nyuma, tupo fainal sasa hivi unasemaje hakuna sehemu tutafika??Wanathimba kwa mwenendo huu hakuna sehwmu tunafika
Hakuna sheria inayomkataza kudaka mpira uliotoka.Kilichomfanya golikipa ahangaike kwenda kudaka mpira uliotoka ni nini?
Wakati hao Singida wana_protest muda ulikuwa umesimama au unaendelea!?View attachment 2868181
Soma chronometer hiyo. Dakika za ziada zaidi ya NNE nje ya SITA zilizotolewa, ziliongezwa na matukio gani?
Kwahiyo mpira ungebaki huko nje. Kipa haruhusiwi kuchukua mpira uliotoka na kuurudisha uwanjani?Kilichomfanya golikipa ahangaike kwenda kudaka mpira uliotoka ni nini?
Haya kasikilize taarifa kutoka bodi ya waamuzi Zanzibar uone walichosema kuhusu tukio la konaRefa ndio mwamuzi wa mwisho pale Kati refa akiwa ameona tukio haina haja kumwangalia mwamuzi ambaye alikua mbali na mpira ulipo lile tukio refa alikua palepale
Ndugu mbumbumbu elewa iyo ni Moja ya kazi ya line na maamuzi yake Yana uhakika kwa asilimia kubwa kwakua yeye anakwenda sambamba na Chak. Anaona mpira uliovuka mstari vizuri kuliko refa wa kati.alikuwa mbali kwenye kona ya mashariki, tukio linafanyika kona ya magharibi atajuaje kuwa mpira umeguswa na mchezaji wa singida?? hilo ni eneo la refa wa kati wewe pimbi mwenye mwiko nyuma
Goli la Simba lilifunywa dakika ya ngapi? Hii uliyoleta hapa ni kuifurahisha nafsi yako jambo ambalo ni zuri kwa afya ya akili. Baada ya goli kufungwa, singida walileta fujo kwa takribani dk 3. Ndizo dakika unazoziona kwenye ubaoView attachment 2868181
Soma chronometer hiyo. Dakika za ziada zaidi ya NNE nje ya SITA zilizotolewa, ziliongezwa na matukio gani?
HakunaUna hakika baada ya saido kupiga hakuna mchezaji wa Singida aliyeugusa ndo maana kipa akakimbia kuudaka akadakia nje?
SijaumiaKwani umeumia?
Basi pole dogo,ndio ukubwa huo
OkHakuna
Mimi ni simba mkuuwewe kenge mwenye mwiko nyuma, tupo fainal sasa hivi unasemaje hakuna sehemu tutafika??
Vipi mkuu tumefika popote?wewe kenge mwenye mwiko nyuma, tupo fainal sasa hivi unasemaje hakuna sehemu tutafika??