Simba angeweza wako vyedi wale sio utopolo...yanga watapata tabu sananendapo watacheza makundi ya CAF competition
Maana kule Haji hatakuwa na nguvubya kuitisha press na kupiga kelele zake....
Hawa Orlando Pirate lzm wakong'otwe na yule kocha wao Msema ovyo ndio ataenda kukutana na figisu sasa
Ifikie wakati hizi fainali za afrika ziwe zinachezewa ulaya na waamuzi wawe wazungu..
Maana kwa hizi rushwa hapana....mzungu haongeki.
Kwanza kama sikosei mwanzo ilikua marefa waarabu mkasema wanawabeba waarabu wenzao , wakaletwa marefa weusi bado mnasema wanawabeba, na sasa mnataka wazungu, mwisho mtataka wahindi au mayahudi waje wachezeshe nako itakua ivyo ivyo. Aise kaazi kweli kweli. Tukubali waarabu wanajua, na hawatumii nguvu kubwa kushinda, akili inatumika pale na ndio maana wamefika mbali.
Kwa mpira nilio utazama berkane wamestahili ushindi hata goli 10. Hongera kwao
Tatizo hakuwezaSimba angeweza wako vyedi wale sio utopolo...yanga watapata tabu sananendapo watacheza makundi ya CAF competition
Maana kule Haji hatakuwa na nguvubya kuitisha press na kupiga kelele zake....
Hawa Orlando Pirate lzm wakong'otwe na yule kocha wao Msema ovyo ndio ataenda kukutana na figisu sasa
Dah Kwa kweli nimefurahi sana, sikutegemea kama Berkane wangepindua meza kibabae.
CAF ni moja ya taasisi dhaifu sana yaani swala la waamuzi limewashinda kabisa, una angalia mpira hadi unaona aibu
Huyu Refa chizi ila Mazembe mandezi Berkane ya kawaida sana
Niliangalia mechi yote Refa mpumbavu, hawa marefa masikini ni aibu sanaRefa anajitambua na anafuata sheria
Wachezaji wa mazembe walizidiwa sana sana, first leg huko nyumbani kwao walishinda kagoli kamoja, tena kwa mbinde 🤣 ugenini wamepata kichapo safi kabisa cha 4G. Halafu unasema Berkane ya kawaida sana!!!!
Hata hao al ahly hawashindi kihalali Africa kila mtu anashinda kwao.Nliwahi kuleta uzi humu kuhusu mpira wa Africa nlisambuliliwa sana nikaonekana mimi shabiki wa Yanga , baadae watu wakaumizwa huko South Africa, leo mmeona wenyewe
Huyo Gassama ni mwarabu?Hapana usimtetee refa..Toka mwanzo wa mchezo mwamuzi amekua mkali sana kwa Mazembe hadi unashangaa ninini?..sababu mazembe on aggregate walikua mbele..wala hawakua na panic yeyote zaidi ya kushambulia na ndiyo kisa goli walilofungwa wamechomoa ndani ya dakika mbili tu...
Sasa waarab mdiyo waliokua wakicheza mpira wa nguvu ku force goli..wamecheza rafu nyingi wao na bado refa amepotezea tu
Hapana usimtetee refa..Toka mwanzo wa mchezo mwamuzi amekua mkali sana kwa Mazembe hadi unashangaa ninini?..sababu mazembe on aggregate walikua mbele..wala hawakua na panic yeyote zaidi ya kushambulia na ndiyo kisa goli walilofungwa wamechomoa ndani ya dakika mbili tu...
Sasa waarab mdiyo waliokua wakicheza mpira wa nguvu ku force goli..wamecheza rafu nyingi wao na bado refa amepotezea tu
Mbona alivyofungwa na mamelod hukuongea huo ujinga wakoHata hao al ahly hawashindi kihalali Africa kila mtu anashinda kwao.
Mbona alivyofungwa na mamelod hukuongea huo ujinga wako
Mazembe wameupiga mwingi kumbuka wamechomoa goli la kwanza ndani ya dakika 2 tu...Punguza au acha chuki kwa waarabu, mnawachukia sana jamani mpaka wanashinda sana, sasaa it's enough!
Unasema "hawakua na panic yeyote zaidi ya kushambulia" [emoji1787], wapi wameshambulia zaidi ya wao kushambuliwa na Berkane!!! Umeangalia mpira ndugu au umehadithiwa??
Unasema [emoji1428]"waarabu ndiyo waliokua wakicheza mpira wa nguvu ku force goli..wamecheza rafu nyingi wao na bado refa amepotezea tu" [emoji1787] mpira wa nguvu vipi ndugu!! Mbona mimi nimecheki game mwanzo mwisho jamaa zako wamepelekewa moto ile mbaya mpaka zimefika 4G unadhani berkane walisimama!!!
Punguzeni chuki, tukubali waarabu wanajua mpira, sisi maneno mengi vitendo zero.
Mazembe wameupiga mwingi kumbuka wamechomoa goli la kwanza ndani ya dakika 2 tu...
Kwanza kama sikosei mwanzo ilikua marefa waarabu mkasema wanawabeba waarabu wenzao , wakaletwa marefa weusi bado mnasema wanawabeba, na sasa mnataka wazungu, mwisho mtataka wahindi au mayahudi waje wachezeshe nako itakua ivyo ivyo. Aise kaazi kweli kweli. Tukubali waarabu wanajua, na hawatumii nguvu kubwa kushinda, akili inatumika pale na ndio maana wamefika mbali.
Kwa mpira nilio utazama berkane wamestahili ushindi hata goli 10. Hongera kwao
Point yako nini haswaa?Leta record moja kubwa ya timu ya kiarabu kwenye kombe la dunia ukifananisha na hizi za waswahili wenzetu pindi wanapochezeshwa na wazungu.tuanzie hapo kwanza