Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Simba angeweza wako vyedi wale sio utopolo...yanga watapata tabu sananendapo watacheza makundi ya CAF competition
Maana kule Haji hatakuwa na nguvubya kuitisha press na kupiga kelele zake....
Hawa Orlando Pirate lzm wakong'otwe na yule kocha wao Msema ovyo ndio ataenda kukutana na figisu sasa
Fainali inachezwa neutral ground,figisu itoke wapi