Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Point yangu ni kwamba waarab wanafigisu sana mechi za ndan ya africa kutokana uwezo wao wakifedha wana dominate soka, ila wakitoka kwenda kombe la dunia ambalo tunaona kule hawana wa kumhonga wanashindwa vibaya walau ma black wanapambana, kama senegal ghana etc kameruni wamechukua hadi kombe lile sijui mabara sijui Olympic. Kwakifupi watu wana hoja berkane walibebwa sanaPoint yako nini haswaa?
Point yangu ni kwamba waarab wanafigisu sana mechi za ndan ya africa kutokana uwezo wao wakifedha wana dominate soka, ila wakitoka kwenda kombe la dunia ambalo tunaona kule hawana wa kumhonga wanashindwa vibaya walau ma black wanapambana, kama senegal ghana etc kameruni wamechukua hadi kombe lile sijui mabara sijui Olympic. Kwakifupi watu wana hoja berkane walibebwa sana
Hakuna cha figisu hapo acheni kulalamika bwana, anaejua mpira anajua tu wala hahitaji nguvu kubwa ni akili na maarifa zinatumika uwanjani, wenzetu wametuzidi mbali sana. Nimetazama 90 minutes sijaona figisu yoyote, refa amechezesha kwa umakini bila kuegemea pande yoyote,, na mazembe walizidiwa mwanzo mwisho, acheni kulalamika, daima zikikutana timu za waarabu na west or south na zikafungwa mnaanza malalamishi mara oh wamebebwa, refa amepewa mpunga, oh figisu nyingi, hebu tuacheni uswahili uswahili wa uyanga na usimba bwana.
Ball possession zinaongea, total shots zinaongea, chances created zinaongea, big chences zinaongea, accurate passes zinaongea, pass success zinaongea, corners zinaongea, on targets zinaongea, passes zinaongea, mnscholslamikia nini!!! haya weka na mazembe yako hapa tuone, maana huko kwao waliambulia goli moja tena kwa mbinde, home away wamepigwa 4G, hapo nani kaonyesha ukubwa?
Ubaguzi bado unalitesa bara letu, na ndio maana soka letu haliendelei,, wenzetu wanaendelea kusonga mbele, sisi maneno mengi vitendo zero.
Kuhusu kombe la dunia, hao unaotumia nguvu kubwa kuwatetea bila mantiki yoyote wamefanya nini kombe la dunia! Atleast Algeria alijitahidi 2014 dhidi ya ujerumani, alimkazia mpaka dakika 90, wakaongezwa na mpira ukaisha kwa 2-1. Hao wengine walifika wapi?
Tuacheni ubaguzi ndugu hata kama kuwachukia sio hivyo tena babaa,, na usijitoe ufahamu kilichotokea kwa egypt dhidi ya senegal, Algeria dhidi ya Cameroon kila mtu aliona na kushuhudia matukio yaliyotokea mpaka aibu.
Nachukia sana ubaguzi.
Sawa naongea urojo,, wewe unaeleta malalamishi bila evidence, na mimi naekataa maana sina hakika wa hicho unachodai, ni nani yupo sahihi?Wewe umeanza kushabikia mpira leo ndio maana unaongea urojo, katika timu zilizofika robo fainali
Tunasema hivi mechi za ndani wanahonga kwanini ukatae hongo wakati hata huko duniani wanahongana?
Sawa naongea urojo,, wewe unaeleta malalamishi bila evidence, na mimi naekataa maana sina hakika wa hicho unachodai, ni nani yupo sahhi?
Jieupusheni sana na dhana kwani hakika baadhi ya dhana ni dhambi.
Je! Una uhakika wa hicho unachokiongea ni kweli!!
Hana njaa ya fedha?Mwape alikua na yellow card halafu akaenda mfokea refa alitegemea nini?
Soze kamchapa mtu ndani ya boksi alitegemea nini?
Nidhamu ya mchezo imewatoa Tp mazembe, na sio refa kama malalamiko yako. Gassama ni moja ya marefa bora sana Africa na atakuepo pia world cup.
Tunajua siyo simple ndiyo maana makolo mliwanga mchana kule southTusubiriw wana jangwani mwakan na wao wakapakatwe huko ..maana si wanafikiri ni simple simple
Wangepeleka mganga uwanja akawange mchanaSimba angefuzu akaingia nusu fainali asingeweza ile figisu,imagine Mazembe ambao ni wazoefu fitina waliyofanyiwa
Unamjua Sepp Blatter?
Simjui kiundani
Huenda kabla yakoUmeanza lini kushabikia mpira?
Basi nkuambie tuache haya majadiliano maana najadiliana na mtu ambaye ufahamu wake kwenye masuala haya si makubwa. Endelea kujifunza kwanza
Huenda kabla yako
Sometimes ushabiki usikusahaulishe ukaingia kwenye dhambi, hapo unadhania kitu ambacho huna uhakika nacho kwakua tu timu yako imefungwa. Kubali matokea mpira ndivyo ulivyo mkuu. Kama ni figisu hatujui, mimi na wewe hatuna uhakika, nimalizie kusema "Mpira ni haram" usinihoji zaidi, uliza wenye i'lmu zao utapata jibu 🙂
Dhani ipi wewe jahili? Nimekutajia timu tatu bora kabisa africa na miaka yao waliofika mbali, nikakuuliza unamjua Sepp Blatter? Ukasema humjui sasa nadhani nini? Au unataka tuache mpira tujadili dini? Kama unataka tujadili dini leta hoja ya dini?Sawa, endelea kudhania tu wakati huna uhakika unachokiongea.
Ushauri wangu, acha dhana!