NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hatuwezi kujisifu kuwa ligi yetu ni Bora wakati Kuna marefa wasiojua Nini wanachokifanya.
Marefa wa ligi yetu hii huwa wanachezesha vizuri Simba na Yanga tu lakini kwa timu nyingine hakuna wanachokifanya.
Na ndiyo maana hakuna marefa wanaoitwa kuchezeshwa michuano ya CAF.
Marefa wa ligi yetu hii huwa wanachezesha vizuri Simba na Yanga tu lakini kwa timu nyingine hakuna wanachokifanya.
Na ndiyo maana hakuna marefa wanaoitwa kuchezeshwa michuano ya CAF.