Refa Arajiga hacheki na wowote

Refa Arajiga hacheki na wowote

Match yoyote ya Simba akichezesha arajiga macho kengeza, huwa ni vigumu Simba kushinda, yaan atalazimisha iwe sare au Simba afungwe.

Shabiki lia lia wa utopolo, silipendi hili libaba, mxxxiiiieeew
 
Refa bomu ndio maana kashindwa kutoA penati y wazi kis ataonekana anaibeba simba kadi nyekundu kwwa feisal kwa kuogopa lawama
Mkuu haya ndio mambo ninayosema kila siku. Ukiwa biased huwezi kumaliza tatizo la uamuzi mbovu.

Kwa hiyo umeona kadi nyekundu ya Feisali ila ya Ngoma hujaiona?
 
Back
Top Bottom