TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ajikatisha ngwala kwa mchezaji huku akiingilia mchezo wa timu ya Nantes. Baadaye alionekana kutaka kumchota mtama mchezaji huyo. Bila kuridhika na hatua hiyo refa alionyesha ukauzu wake kwa kumlima kadi nyekundu mchezaji,Diego Carlos. Refa huyo anajulikana kama Tony Chapron.
Fuatilia tukio hapa chini.
====
Angejaribu kufanya hivyo uwanja wa Taifa aone cha mtema fayawuudu.!!
Fuatilia tukio hapa chini.
====
Angejaribu kufanya hivyo uwanja wa Taifa aone cha mtema fayawuudu.!!