Refa wa Kombe la Mapinduzi kanichekesha sana!

Refa wa Kombe la Mapinduzi kanichekesha sana!

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Nilikuwa nacheki highlights za mechi ya Singida na JKU kwenye Kombe la Mapinduzi. Kuna goli la Singida lilikataliwa wakazua mzozo na Refa.

Refa kumaliza soo akamlima mchezaji wa Singida Hamad Waziri kadi ya njano huku anamrushia matusi. Inaonyesha kuna maneno ya kuudhi ambayo Waziri alimtamkia Refa wakati wa lile zogo.

Nimecheka sana aisee kwa sababu ukimuangalia Refa unaona kabisa maneno anayotamka.
 
Nilikuwa nacheki highlights za mechi ya Singida na JKU kwenye Kombe la Mapinduzi. Kuna goli la Singida lilikataliwa wakazua mzozo na Refa.

Refa kumaliza soo akamlima mchezaji wa Singida Hamad Waziri kadi ya njano huku anamrushia matusi. Inaonyesha kuna maneno ya kuudhi ambayo Waziri alimtamkia Refa wakati wa lile zogo.

Nimecheka sana aisee kwa sababu ukimuangalia Refa unaona kabisa maneno anayotamka.
Yule reffa ni kiazi haswaaa. Aliwapa JKU penati ya Mchongo. Singida wakapata goli halali kabisa lilitokana na beki na kipa wake kugongana na kutoa upenyo kwa singida kupata goli lkn cha ajabu yule Mpemba alikataa lile goli, tusubir wataalam wa futbol watakuja fafanua
 
Yule reffa ni kiazi haswaaa. Aliwapa JKU penati ya Mchongo. Singida wakapata goli halali kabisa lilitokana na beki na kipa wake kugongana na kutoa upenyo kwa singida kupata goli lkn cha ajabu yule Mpemba alikataa lile goli, tusubir wataalam wa futbol watakuja fafanua
Marefa wa Mapinduzi Wana maelekezo kuhusu timu zào. Mechi ya JKU na SFG ilikuwa na vituko kama Ile ya Azam na Mlandege.
 
Yule reffa ni kiazi haswaaa. Aliwapa JKU penati ya Mchongo. Singida wakapata goli halali kabisa lilitokana na beki na kipa wake kugongana na kutoa upenyo kwa singida kupata goli lkn cha ajabu yule Mpemba alikataa lile goli, tusubir wataalam wa futbol watakuja fafanua
Kumbe kuna maelekezo kombe libakie zbar.....kuna wakati tutawaachia wacheze wenyewe uhakika komve libakie huko huko wasitusumbue wachezaji wanaumia .....ratiba ya kuchomekeaa
Hahah yule refa kanifurahisha sana. Kanikumbusha mpira asili yake ni mchezo wa wahuni, anakulima kadi na anakusindikiza na matusi. Siyo leo baadhi ya viongozi wasiojua mpira wanahamaki kwa vitu vidooogo....
 
Marefa wa Mapinduzi Wana maelekezo kuhusu timu zào. Mechi ya JKU na SFG ilikuwa na vituko kama Ile ya Azam na Mlandege.
Acheni kulalamika,waamuzi wa mapinduzi mimi nawaelewa sana.Ni kama wa CAF.
Waamuzi wetu huku bara ni wapuuzi mno.Wanapuliza filimbi hovyo hovyo tu hadi mpira unakosa ladha.Yaani akianguka mchezaji wa timu fulani hata kama kapigwa chenga,utasikia kipenga kimelia.
Huenda ninyi ni mashabiki wa hiyo timu ndio tumewazoea kulalamikia waamuzi kila siku
 
Picha lilianzia hapa.

Tatizo watu wanachagua wapi pa kulalamika na wapi pa kunyuti. Kuna watu juzi juzi walifaidika kwa muda wa nyongeza usio wa kawaida, tena siyo mechi moja ila mechi zao mbili mfululizo. Azam na Singida kwenye mechi yao wote walipewa goli la offside. APR wanalalamika goli walilonyimwa ambalo katika marudio unaona lilikuwa ni offside. Simba jana amenyimwa penati ila wala hawakulalamika wakaendelea na mpira na hata hiyo kona inayolalamikiwa ni halali.

Embu tunywe maji baridi tupoze koo. Hasira zimekuwa nyingi wakati wanasema hii ni bonanza tu. Wengine wanawaambia APR waombe radhi kwa kuyadhalilisha mashindano wakati wao wamepeleka madogo kucheza halafu wamepumzisha mapro.
 
Acheni kulalamika,waamuzi wa mapinduzi mimi nawaelewa sana.Ni kama wa CAF.
Waamuzi wetu huku bara ni wapuuzi mno.Wanapuliza filimbi hovyo hovyo tu hadi mpira unakosa ladha.Yaani akianguka mchezaji wa timu fulani hata kama kapigwa chenga,utasikia kipenga kimelia.
Huenda ninyi ni mashabiki wa hiyo timu ndio tumewazoea kulalamikia waamuzi kila siku
Kuna watu mmebarikiwa kuelewa taratibu. Nadhani Kwa Sasa umeelewa udhaifu wa marefa unaotokana naaelekezo.
 
Nilikuwa nacheki highlights za mechi ya Singida na JKU kwenye Kombe la Mapinduzi. Kuna goli la Singida lilikataliwa wakazua mzozo na Refa.

Refa kumaliza soo akamlima mchezaji wa Singida Hamad Waziri kadi ya njano huku anamrushia matusi. Inaonyesha kuna maneno ya kuudhi ambayo Waziri alimtamkia Refa wakati wa lile zogo.

Nimecheka sana aisee kwa sababu ukimuangalia Refa unaona kabisa maneno anayotamka.
Weka video
 
Back
Top Bottom