Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Huo upuuzi hausemwi, hauonekani kwenye TV Ila refa Tu?Mimi mwenyewe nilidhani hivyo na sikuiafiki hiyo kadi ila kuna upuuzi huyo mchezaji amefanya kwa Ateba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo upuuzi hausemwi, hauonekani kwenye TV Ila refa Tu?Mimi mwenyewe nilidhani hivyo na sikuiafiki hiyo kadi ila kuna upuuzi huyo mchezaji amefanya kwa Ateba.
Ubaya ubwela.Kabisa nyie hambebwi mnashinda kwa jasho.
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.Ubaya ubwela.
Angalia marudio ya tukio.Huo upuuzi hausemwi, hauonekani kwenye TV Ila refa Tu?
Huu ndio ubaya ubwela March 8 msiingize hata timu maana refa sio kayoko.Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .
Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.
Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Ubaya ubwela boss. We elewa tu, ubaya ubwela.Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
Tàtizo kubwa NI kwamba Simba mnaona nyie tu ndo mna haki kufungwa na Yanga. Wakifungwa wenzenu mnalalamika sana. Simba mjue kama huwa mna haki ya kufungwa na Yanga na wenzenu pia wanapenda hiyo haki sasa msilalamike kuingiliwa hiyo haki ya kufungwa na Yanga.Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .
Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.
Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Tunasubilia wakina jemedari na yule domo kubwa Wilson Oruma waje watuambie gsm alivyomuhonga refa wa Leo na iyo kadi watuambie imetokea wapi!Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .
Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.
Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Kumbe safi sana Kila timu ishinde mechi zake tutajuana mwisho wa msimuSimba ishinde tu, mengine watajuana wenyewe vyura.
Kabisa mtaniKumbe safi sana Kila timu ishinde mechi zake tutajuana mwisho wa msimu
Uwezi kuona Wala kuafiki tutafika tu tunapokwenda!Mimi mwenyewe nilidhani hivyo na sikuiafiki hiyo kadi ila kuna upuuzi huyo mchezaji amefanya kwa Ateba.
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
Namungo si ni tawi la Simba au upepo umebadilika?Uwezi kuona Wala kuafiki tutafika tu tunapokwenda!
Namungo ndio refa aliyetoa kadi nyekundu? Yani unategemea ushindi wa Rose mhando na bado unatamba?Namungo si ni tawi la Simba au upepo umebadilika?
Ina uhalali Gani Ile card? Au Mpira unaangalia wewe peke yako?Wewe umejuaje kuwa card nyekundu aliyotoa siyo halali?