Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Ubaya ubwela.
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
 
Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .

Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.

Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Huu ndio ubaya ubwela March 8 msiingize hata timu maana refa sio kayoko.
 
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
Ubaya ubwela boss. We elewa tu, ubaya ubwela.
 
Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .

Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.

Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Tàtizo kubwa NI kwamba Simba mnaona nyie tu ndo mna haki kufungwa na Yanga. Wakifungwa wenzenu mnalalamika sana. Simba mjue kama huwa mna haki ya kufungwa na Yanga na wenzenu pia wanapenda hiyo haki sasa msilalamike kuingiliwa hiyo haki ya kufungwa na Yanga.
 
Timu gani hii! Mpaka ipewe penati ya mchongo, au kadi nyekundu kwa mpinzani wake ndiyo inashinda!!
 
Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .

Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.

Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo
Tunasubilia wakina jemedari na yule domo kubwa Wilson Oruma waje watuambie gsm alivyomuhonga refa wa Leo na iyo kadi watuambie imetokea wapi!
 
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
1000244696.jpg

Chomoa sasa huo mwiko
 
Wewe umejuaje kuwa card nyekundu aliyotoa siyo halali?
 
Back
Top Bottom