DuhMechi za Simba mchezaji wa Timu pinzani akijikuna tu anakula umeme daah..
Haujaona kadi nyekundu ya jana huku matuta yakiongozana kama zawadi.
Hivi kina Bado wapooHatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Asiwaruuisu mpate goli kama la mechi ya kwanza la mpira kutoka nje,na tukipata penalty tena atupatie.Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Wacha waendeleeeeeeAsiwaruuisu mpate goli kama la mechi ya kwanza la mpira kutoka nje,na tukipata penalty tena atupatie.
Acha kupangia watu chakupost ili mradi havunji sheria na taratibu.Pdidy mkuu unazeeeka Vibaya, miaka 18 JF halafu unachoweza ni kujaza jukwaa la Sports na Nyuzi 6 kuhusu ubishi wa Mpira! This is too low mwamba, hizi mambo waachie Under 17
Tarehe 8 mtafungwa na Simba sc bila hiana. Mtu pekee ambaye mashabiki wa yanga mtamlalamikia siku hiyo ni diarra.Referee wa mechi hiyo hatakuwa na lawama.Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Mechi za simba zinatia aibu na kinyaa....Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Mkuu wale wachezaji walikuwa na jazba sana,na kama kadi isingetoka muda ule ingetoka kwa mukwala huku pembeni.Hawakywa na nidhamu ndo maana wakaonelewa na tumebaki na maswali.Wachezaji wa Namungo walikuwa wapole ile jana. Na kama TFF inajitambua, basi wangeanzisha tu tuzo ya timu yenye fair play ili wawape Namungo. Kiukweli ule ujinga wa yule mpuuzi ulikuwa hauvumiliki.