Jazba zote zilisababishwa na mwamuzi kufanya maamuzi yenye double standard.Mkuu wale wachezaji walikuwa na jazba sana,na kama kadi isingetoka muda ule ingetoka kwa mukwala huku pembeni.Hawakywa na nidhamu ndo maana wakaonelewa na tumebaki na maswali.
Mkicheza uhuni lazima muadhibiwe.Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Simba wanaharibu sana soka la Tanzania, ni aibu timu kubwa kama hii kubebwa bebwa, msimu uliopita walileta figisu za namna hii na kombe likabebwa vile vile, safari hii wanaisoma namba tena, Mwenyezi Mungu hapendezwi na mnachokifanya.Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.
Jf Kila mtu refa, kama mmesomea hzo sheria 17 , kwanini msiende kuomba kazi TFF !?.Hatuchoki. HATUUVUMILII.
Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba.
Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi.
Ujinga wa redkad za ajabu Mhe. Karia YANGA hatuubebi.
Tukutane tar 8 machi, 2025.