Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko

Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Snapinsta.app_242694375_148564664070621_1630317510136128883_n_1080.jpg
KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby

Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo

Oktoba 19; Hakuna Kisingizio …..!
 
KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby

Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo

Oktoba 19; Hakuna Kisingizio …..!
Mchezo mkubwa, Refa wa hovyo.
Kamati ya marefa na Bodi ya Ligi lazima mtambue Refa wa kati mliyenaye na bora ni Arajiga pekee.
Msione aibu, amewaacha mbali Sana wenzake Quality yake ni kubwa Sana.
 
Ili mpate penati za mapema na kututoa mchezoni?
Hapana, Tunacho hitaji ni uchezeshaji wa haki bila ku balance mchezo.
Uyu Kayoko muda mwingi anautumia ku fokea wachezaji na kujaribu kuwatisha na ku balance kadi.
Tofauti yake na Heri Sasi ni ndogo kama Uzi wa kushonea nguo.
Kinacho Fanya Magoli yapungue katika derby ni ku balance matukio, kama ingekua Sheria zinafuatwa timu ingefungwa ata Goli 7.
 
Ramadan Kayoko
Tatu malogo
Cassim mpanga
Ni mashabiki wa Makolo
Watabalance matukio lakini Simba watapigwa
 
KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby

Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo

Oktoba 19; Hakuna Kisingizio …..!
hamna kitu hapa!
marefa bora kwa sasa wa derby ni ARAJIGA NA YULE MAMA JONESIA RUKYAA
 
Tff na Bodi ya ligi waache ujinga waruhusu waamuzi watoke nje ya nchi kunogesha derby na kuwafanya waamuzi wetu wajifunze.
 
I will be short.

as we speak. karia kawapangia simba matokeo.

aibu ya community shield Inaludi tena kwenye derby. marefa wa ovyo mchezo mkubwa. malengo kuua brand ya ligi. KISA TAMAA

kesho tegemeeni aibu kubwa kwa mwamuzi .malengo ya karia ni kuua ligi yetu kwa rushwa Na kupanga matokeo. yeye analipwa kulinda heshima ya simba tu. yupo kwenye pay roll . hii ndo ubaya ubwela

untill karia is gone, mpira wa Tanzania ni rushwa tu.

hizi Za ndani kabisa.

"REFA KASHAUZA GAME, WANA YANGA MSIPOTEZE Mda"

SIMBA ANAPENALTY, OFFSIDE NA FOUL ZA KUTOSHA, SIMBA AKIPOTEZA DERBY HII LIGI IMEISHA.

KARIA AWEZI RUHUSU HICHO KITU.

MASHABIKI NENDENI KAPOTEZENI MDA WATU WANAMATOKEO YAO, MEZANI.

#KARIAOUT #KARIAMUSTGO

THANK YOU
 
Nashukuru mungu kuwa simba mashabiki wa yanga wengi wana kamasi kichwani yaani wao kila siku kulalamika na kupelekwa FIFA kwa kesi za wachezaji mmeanza kulalamika kabla ya game.
 
Back
Top Bottom