Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PovuologyI will be short.
as we speak. karia kawapangia simba matokeo.
aibu ya community shield Inaludi tena kwenye derby. marefa wa ovyo mchezo mkubwa. malengo kuua brand ya ligi. KISA TAMAA
kesho tegemeeni aibu kubwa kwa mwamuzi .malengo ya karia ni kuua ligi yetu kwa rushwa Na kupanga matokeo. yeye analipwa kulinda heshima ya simba tu. yupo kwenye pay roll . hii ndo ubaya ubwela
untill karia is gone, mpira wa Tanzania ni rushwa tu.
hizi Za ndani kabisa.
"REFA KASHAUZA GAME, WANA YANGA MSIPOTEZE Mda"
SIMBA ANAPENALTY, OFFSIDE NA FOUL ZA KUTOSHA, SIMBA AKIPOTEZA DERBY HII LIGI IMEISHA.
KARIA AWEZI RUHUSU HICHO KITU.
MASHABIKI NENDENI KAPOTEZENI MDA WATU WANAMATOKEO YAO, MEZANI.
#KARIAOUT #KARIAMUSTGO
THANK YOU
Umechanganyikiwa dogo.I will be short.
as we speak. karia kawapangia simba matokeo.
aibu ya community shield Inaludi tena kwenye derby. marefa wa ovyo mchezo mkubwa. malengo kuua brand ya ligi. KISA TAMAA
kesho tegemeeni aibu kubwa kwa mwamuzi .malengo ya karia ni kuua ligi yetu kwa rushwa Na kupanga matokeo. yeye analipwa kulinda heshima ya simba tu. yupo kwenye pay roll . hii ndo ubaya ubwela
untill karia is gone, mpira wa Tanzania ni rushwa tu.
hizi Za ndani kabisa.
"REFA KASHAUZA GAME, WANA YANGA MSIPOTEZE Mda"
SIMBA ANAPENALTY, OFFSIDE NA FOUL ZA KUTOSHA, SIMBA AKIPOTEZA DERBY HII LIGI IMEISHA.
KARIA AWEZI RUHUSU HICHO KITU.
MASHABIKI NENDENI KAPOTEZENI MDA WATU WANAMATOKEO YAO, MEZANI.
#KARIAOUT #KARIAMUSTGO
THANK YOU
KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby
Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo
Oktoba 19; Hakuna Kisingizio …..!
Huyu wa ovyo sana.KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby
Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo
Oktoba 19; Hakuna Kisingizio …..!
Nani hurekebisha?Dogo yupo vizuri ingawa ana mapungufu machache yanaorekebishika
Wachezaji wa Yanga wanatakiwa wachukue tahadhari ya juu sana kwenye mchezo wa leo.Kwa Kayoko, Yanga tumekanyaga makaa ya moto; wacheazi wengi sana Yanga wajiandae na kadi. Mimi nilipenda awe Arajiga, refa wa mweye tuzo.