Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na yote jamaa anajitahidi sanaAragija kipenzi Cha yanga Kila mechi lazima awape penati
Ahmed Arajiga ndiye mtu mnyofu anayestahili kuchezesha1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.
Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Waambieni wachezaji wenu waendelee kutembeza viatu halafu mbaki mnamlaumu Arajiga.Aragija kipenzi Cha yanga Kila mechi lazima awape penati
Huyu dogo ana kazi ya kutumbua macho tu hamna kitu humu.Ramadhani Kayoko.
Kuna yule dada wa kihaya ( somebody rukyaa) huwa namkubali sana maana faulo za kijinga jinga huwa anazipotezea anaacha mpira uchezwe yaani km ligi ya uingereza.1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.
Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Ujinga mtupu!1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.
Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Arajiga hapana yule mbwa hafai kabisa Achezeshe Kayoko1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.
Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Sure yule mwanamke anafaa sanaKuna yule dada wa kihaya ( somebody rukyaa) huwa namkubali sana maana faulo za kijinga jinga huwa anazipotezea anaacha mpira uchezwe yaani km ligi ya uingereza.
Hawa wengine kila dakika pyeee pyee faulo nyingine ni laini mno za kupotezea lakini wao wanaita huwa inanikera