Refa yupi anafaa zaidi achezeshe mechi ya Derby ya Kariakoo ya tarehe 19 Oktaba 2024?

Refa yupi anafaa zaidi achezeshe mechi ya Derby ya Kariakoo ya tarehe 19 Oktaba 2024?

Uyo Her Sasi atakaua na ma Godfather pale Tff na Kamati ya waamuzi kwakua hastaili kwa Sasa kua miongoni mwa marefa wa mechi kubwa.

Ameharibu michezo mikubwa mingi Sana lakini Bado anapewa nafasi.
 
1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.

Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Kuna yule dada wa kihaya ( somebody rukyaa) huwa namkubali sana maana faulo za kijinga jinga huwa anazipotezea anaacha mpira uchezwe yaani km ligi ya uingereza.

Hawa wengine kila dakika pyeee pyee faulo nyingine ni laini mno za kupotezea lakini wao wanaita huwa inanikera
 
1. Ramadhan Kayoko
2.Herry Sassi
3.Arajiga.

Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
Ujinga mtupu!
Kwa mechi ilivyo na tension ingekuwa bora mwamuzi akatoka nje ya nchi lakini kwa vile hatuna akili au tunafanya maigizo tunawaza hao hao kila siku.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom