Ukiangalia vizuri tatizo hili ni kwa karbu kwa refarees wote wa TPL kutoa maamuzi yaliyo tata utadhani hawajui sheria; hivyo TFF kuna kitu wanatuficha wadau wa soka aidha kuna maagizo hivyo inawalazimu refarees kutokujiamini.
Baada ya matukio haya kila kukicha yanazidi kuwa makubwa sasa wameamua kuwatoa kafara refarees ni ajabu sana PCCB waingilie kati lazima kuna jambo hapa si hivi tu.
Baada ya matukio haya kila kukicha yanazidi kuwa makubwa sasa wameamua kuwatoa kafara refarees ni ajabu sana PCCB waingilie kati lazima kuna jambo hapa si hivi tu.