GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Where are we heading?
Tunaelekea Arusha baba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where are we heading?
kwani wewe inakusadia nini kama unaaandika unayoyafanya hapa???unatafuta washabiki??? nenda kamwambie Shigongo akuandike magazetini kwake basi???
don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPAwhy should you put in writting upuuzi unaofanya huko vichochoroni???mtu anakuja na mada ya 'sheria za infidelity'...unataka kupata nini km sio kupersuade watu wafanye upuuzi unaofanya?.......ubishi pembeni...i think theres more negative impact on this than postive.....na kama mtu umefikiria hili huwezi kuleta mada za hivi jukwaani.:teeth:
Bora baba twende tukapunguze stress huko na kina PJ & Co naona hapa JF mambo yashaanza kua si mambo!Tunaelekea Arusha baba...
i won't do that for real!trust meIngia na moja ya yale majina yako mengine univurumishie tu hiyo mitusi inayofukuta moyoni
don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA
YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani
Mie nahisi mungu hapendi wanawake......
wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....
wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....
ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol
wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......
mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?.....![]()
![]()
sikujua niiweke wapi hii😎😎
ni bora nikaizungumzia infidelity kuliko kupost thread kama hii halaf nikajiita great thinker:
too low.....!pole we.....umepata muda wa kufukunyua posti zangu zoote inaelekea nakusumbua kichwa pole sana....fyi, i dont give a damn what you think of me...!
mwe sijui kuna tofauti gani,kwa vile hayajawahi nikumba...lakini nahisi bora ujue mumeo amecheat na mwanamke mwenzio...kuliko kujua he is gay...:...!
kabila letu haliniruhusu kabisa kushindana maneno na WANAWAKE......!naona imekuingia akilini sasa,sio wote wanaokuwa entertained na ujinga unaofanya vichochoroni Teamo....
hii ya kufukunyua posti mie hainisumbui....do as much as you like...!
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?
Hahahahaha......don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA
YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani
kabila letu haliniruhusu kabisa kushindana maneno na WANAWAKE......!
mi nakubali kuwa ni mjinga
hahahaha hommie bana ukiamua kwenda chimbo unazama humohumo! Achana na hii ishu twenzetu kwa Eliza tukazitendee haki za uvuguvugu!too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?
wacha uzushi,ungekuwa hutaki ligi ungenignore tangu mwanzo wala usingejihangaisha kuleta maposti yangu hapa!....umeshaona unajishusha unaanza kuchomoka kijanja.
UINFIDELITY SIO SIFA!.....back to the topic please!