Reflection: Mahusiano, Mapenzi na Urafiki - Tunaelekea wapi?

kwani wewe inakusadia nini kama unaaandika unayoyafanya hapa???unatafuta washabiki??? nenda kamwambie Shigongo akuandike magazetini kwake basi???

Kwani wewe inakusaidia nini kufanya halafu unajifanya mtawa.....
 
don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA

YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani
 
don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA

YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani


HAHAAAAAAAAA SASA UNANITISHA???NA UKISHANIJUA MIE NI MTU WA KUPRETEND KIASI GANI...UNAPATA NINI AU NAPUNGUKIWA NA NINI MIE???

UINFIDELITY SIO SIFA!.....back to the topic please!
 
ni bora nikaizungumzia INFIDELITY kuliko kupost thread kama hii halaf nikajiita great thinker:
 
ni bora nikaizungumzia infidelity kuliko kupost thread kama hii halaf nikajiita great thinker:

pole we.....umepata muda wa kufukunyua posti zangu zoote inaelekea nakusumbua kichwa pole sana....fyi, i dont give a damn what you think of me...!
 
Wakubwa nime[itia Post zote kwa makini na nimewasoma nyoote tujirekebishe
 
naona imekuingia akilini sasa,sio wote wanaokuwa entertained na ujinga unaofanya vichochoroni Teamo....
hii ya kufukunyua posti mie hainisumbui....do as much as you like...!
 
Tukanywe bia kujiandaa na mechi ya Manchester and Ass-hell-noo......TEAMO lets go buddy, life should never be this serious
 
pole we.....umepata muda wa kufukunyua posti zangu zoote inaelekea nakusumbua kichwa pole sana....fyi, i dont give a damn what you think of me...!
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?

mwe sijui kuna tofauti gani,kwa vile hayajawahi nikumba...lakini nahisi bora ujue mumeo amecheat na mwanamke mwenzio...kuliko kujua he is gay...:...!
 
naona imekuingia akilini sasa,sio wote wanaokuwa entertained na ujinga unaofanya vichochoroni Teamo....
hii ya kufukunyua posti mie hainisumbui....do as much as you like...!
kabila letu haliniruhusu kabisa kushindana maneno na WANAWAKE......!
mi nakubali kuwa ni mjinga
 
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?


mnh naanza kuamini upeo wako ni mashaka mbona sentesi imejikamilisha hio...rejea mada husika na uisome kwa makini labda utaelewa.pole sana...kichwani kwako unaona unaniadhiri...kumbe unajishusha/jionyesha mwenyewe ulivyo 'shallow!
 
don't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA

YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani
Hahahahaha......

Utanitambuaje kama mimi ni infiiii,
Utanitambuaje kama nafanyaa,

masreediii jamani masreeeediiii utanitambua eeeeeh!!

Dogo nlishakukanya si vizuri kuvua watu nguo hadharani.... hasa wale wa jinsia ya Beijing....Haikubaliki Kama Malaria!!!

Hapa ili tukubali yaishe, Tupige infidelity lakini tusiandike jukwaani kwa kuwa HAKIKA kuandika ni dhambi kubwa kuliko KUTENDA....

Kwa herini watoto wote.
 
kabila letu haliniruhusu kabisa kushindana maneno na WANAWAKE......!
mi nakubali kuwa ni mjinga

wacha uzushi,ungekuwa hutaki ligi ungenignore tangu mwanzo wala usingejihangaisha kuleta maposti yangu hapa!....umeshaona unajishusha unaanza kuchomoka kijanja.
 
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?
hahahaha hommie bana ukiamua kwenda chimbo unazama humohumo! Achana na hii ishu twenzetu kwa Eliza tukazitendee haki za uvuguvugu!
 
wacha uzushi,ungekuwa hutaki ligi ungenignore tangu mwanzo wala usingejihangaisha kuleta maposti yangu hapa!....umeshaona unajishusha unaanza kuchomoka kijanja.

Mama mtu mzima akivuliwa nguo huchutama...ndo ustaarabu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…