Reflection: Mahusiano, Mapenzi na Urafiki - Tunaelekea wapi?

Tukanywe bia kujiandaa na mechi ya Manchester and Ass-hell-noo......TEAMO lets go buddy, life should never be this serious
Errr...emmmmm......location please?
 
wacha uzushi,ungekuwa hutaki ligi ungenignore tangu mwanzo wala usingejihangaisha kuleta maposti yangu hapa!....umeshaona unajishusha unaanza kuchomoka kijanja.
NIMEKUZUSHIA NIN MAMA?
nani alikusaidia kuandika hivi kama sio ZINAA ZAKO?:
The Dick are you handsome?
 
Mama mtu mzima akivuliwa nguo huchutama...ndo ustaarabu huo

hahaha nani sasa kanivua nguo???Teamo??labda kama macho yako yana makengeza usione kuwa kajivua mwenyewe...mnalo hilo!
 
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?

Warning

Usithubutu kutamka BATA hapo unatafutwa mpwa ukalie X.mass lock up shtuka
 
hahaha nani sasa kanivua nguo???Teamo??labda kama macho yako yana makengeza usione kuwa kajivua mwenyewe...mnalo hilo!

**^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**:cheer2:
 
NIMEKUZUSHIA NIN MAMA?
nani alikusaidia kuandika hivi kama sio ZINAA ZAKO?:

hahaha nyoooo si ulisema hupendi maneno?kumbe hii ligi isiyo na kombe unaifurahia eeeh???na leo niko na wewe sambamba...
yaani kumuuliza mtu hivyo ni zinaa??hufai....by the way leta zoooote posti zangu ujionyeshe hapa,ulivyo mtupu!
 
FAB ACHA UNAFIKI NDUGU YANGU!we kama ni infideletee UTABAKI KUWA HIVYO HIVYO......!usilete mambo ya ajabu

BTK:acha MTIMA NYONGO MSHKAJI....!kwanin ulinidiliti kwenye contacts list yako ya yahoo?....mimi bado nakukubali na sina kinyongo nawe...yale matatizo yalitokea kutokana na COMMUNICATION ERROR,lait ningejua mimi nisingeomba ile namba!rudi tu na id yako ya zamani.kwanin tufanyiane hivo mpwaaz?
 
Nyie hapo juu mnachokozwa ili mmpewe kibano sikukuu mtalia selo shauri yenu kama vp potezea tu

ACID kachafua hali ya hewa halafu kakimbia....walah likotokea lakutiokea yeye ndo ataenda selo na si wachangiaji
 
hahaha nyoooo si ulisema hupendi maneno?kumbe hii ligi isiyo na kombe unaifurahia eeeh???na leo niko na wewe sambamba...
yaani kumuuliza mtu hivyo ni zinaa??hufai....by the way leta zoooote posti zangu ujionyeshe hapa,ulivyo mtupu!

Cutie inaonekana ulikuwa msutaji mzuri sana enzi zako
 
hahaha nyoooo si ulisema hupendi maneno?kumbe hii ligi isiyo na kombe unaifurahia eeeh???na leo niko na wewe sambamba...
yaani kumuuliza mtu hivyo ni zinaa??hufai....by the way leta zoooote posti zangu ujionyeshe hapa,ulivyo mtupu!
we wa kawaida sana.infact upo below standards
 
hahaha nani sasa kanivua nguo???Teamo??labda kama macho yako yana makengeza usione kuwa kajivua mwenyewe...mnalo hilo!
Fab Nimekuvulia kofia...we ni mwanamke mvumilivu na jasiri sana asee.
 
ACID kachafua hali ya hewa halafu kakimbia....walah likotokea lakutiokea yeye ndo ataenda selo na si wachangiaji

Yeye kakimbia kawaachia huu msala kikubwa eleweni watu wanalazimisha BAN hapo
 
KWA HESHIMA NA TAADHIMA natangaza kuamka na fab kesho.....!:A S crown-1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…