Errr...emmmmm......location please?Tukanywe bia kujiandaa na mechi ya Manchester and Ass-hell-noo......TEAMO lets go buddy, life should never be this serious
Errr...emmmmm......location please?
NIMEKUZUSHIA NIN MAMA?wacha uzushi,ungekuwa hutaki ligi ungenignore tangu mwanzo wala usingejihangaisha kuleta maposti yangu hapa!....umeshaona unajishusha unaanza kuchomoka kijanja.
The Dick are you handsome?
hahahaha ngoja tutafute kanga tumsitiri!! :whoo:Mama mtu mzima akivuliwa nguo huchutama...ndo ustaarabu huo
Mama mtu mzima akivuliwa nguo huchutama...ndo ustaarabu huo
too low.....!
i thought wewe ni ''somebody'' kumbe wa kawaida kabisa.hapa ulikuwa unahubiri nin?
Warning
Usithubutu kutamka BATA hapo unatafutwa mpwa ukalie X.mass lock up shtuka
hahaha nani sasa kanivua nguo???Teamo??labda kama macho yako yana makengeza usione kuwa kajivua mwenyewe...mnalo hilo!
Errr...emmmmm......location please?
Mama mtu mzima akivuliwa nguo huchutama...ndo ustaarabu huo
Palepale
hahahaha ngoja tutafute kanga tumsitiri!! :whoo:
NIMEKUZUSHIA NIN MAMA?
nani alikusaidia kuandika hivi kama sio ZINAA ZAKO?:
Nyie hapo juu mnachokozwa ili mmpewe kibano sikukuu mtalia selo shauri yenu kama vp potezea tu
hahaha nyoooo si ulisema hupendi maneno?kumbe hii ligi isiyo na kombe unaifurahia eeeh???na leo niko na wewe sambamba...
yaani kumuuliza mtu hivyo ni zinaa??hufai....by the way leta zoooote posti zangu ujionyeshe hapa,ulivyo mtupu!
we wa kawaida sana.infact upo below standardshahaha nyoooo si ulisema hupendi maneno?kumbe hii ligi isiyo na kombe unaifurahia eeeh???na leo niko na wewe sambamba...
yaani kumuuliza mtu hivyo ni zinaa??hufai....by the way leta zoooote posti zangu ujionyeshe hapa,ulivyo mtupu!
Fab Nimekuvulia kofia...we ni mwanamke mvumilivu na jasiri sana asee.hahaha nani sasa kanivua nguo???Teamo??labda kama macho yako yana makengeza usione kuwa kajivua mwenyewe...mnalo hilo!
ACID kachafua hali ya hewa halafu kakimbia....walah likotokea lakutiokea yeye ndo ataenda selo na si wachangiaji
Hata mimi nimemvulia kofia huyu dada/mama/bibi.Cutie inaonekana ulikuwa msutaji mzuri sana enzi zako
Babu vp hapo unaweza kukagua?:bump:Fab Nimekuvulia kofia...we ni mwanamke mvumilivu na jasiri sana asee.
Hata mimi nimemvulia kofia huyu dada/mama/bibi.