Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hahahahahaaa....hommie bana lolhapa babu itabidi ulazimishe kukagua hata kama ni ngumu bana!!:redfaces::redfaces:
Ngoja ntatafuta ushauri wa wajukuu zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaa....hommie bana lolhapa babu itabidi ulazimishe kukagua hata kama ni ngumu bana!!:redfaces::redfaces:
to be honest, i see nothing wrong with the thread kwasababu iko jukwaa husika... na ndio maana post #1 nilisema kuna mambo yanastahili kwenda jukwaa la wakubwadon't blame ya!......i don't at all!kuna mtu alitumia aidii yako kuandika THREAD HII HAPA
YAANI KWA THREAD HIYO TU naweza kujua we ni mtu wa ku-pretend kiasi gani
We hebu ishia huko wenzio tumetoa kiingilio hapa. Na kamari tumeshacheza.
to the end of the tunnel... unfortunately, i see no light at the end of it!!!
Mkuu on this one I am dead serious na siwezi kimbia hoja... i had other calls to attend and I am backACID kachafua hali ya hewa halafu kakimbia....walah likotokea lakutiokea yeye ndo ataenda selo na si wachangiaji
Bwana Akumwagie baraka zake.Tawire baba...:mod:😛ray2:
The lights at the end of the tunnel, could be an incoming Train.... Watch out!!
Jamani Yesu azaliwe mioyoni mwenu wote.... Mbarikiwe sana
Mkuu on this one I am dead serious na siwezi kimbia hoja... i had other calls to attend and I am back
Huwezi tetea mambo yasiyofaa kwasababu baba anafanya......... kila jambo na wakati na mahali pake; mimi hufanya yote hayo lakini kwa leo nasema hivi, jukwaa liboreshwe tuwe tunapata shule we used to get
huwezi kwenda kufukua ya jukwaa la wakubwa ukasema haya ndio ya fulani
Kumbuka hata mama zetu wakiwa wenyewe huzungumzia kadhia waliyopata na manesi ila tukitoea wanasema mtoto mwenyewe kakua
Umeiweka vyema GY na nimekuelewa sana... sijalalamika mkuu nimeweka reflection... surely kulalama na reflection are two different stuffKwakweli niliielewa vizuri sana thread hii, na ni kweli kuwa kuna mambo mengi sana yanayopaswa kwenda jukwaa la wakubwa ila yanaletwa humu...the best thing to do is to just report them kwa mods ili waihamishe, na sio kulalamika...au ikiwa hiyo haifai, basi ku-ignore threads zote zinazokosa mashiko au kukosa nidhamu..then wale wanaozileta wakose sababu na nguvu ya kufanya hivyo tena..lakini kuna lugha ya jukwaa ambayo lazima iwepo ili ladha ibaki palepale, na tukiipoteza hiyo basi utamu utapungua sana..talking of infii which turned out as a burning issue leo, mimi sioni ubaya wa watu kuwa na swaga yao ambayo inawafanya wainteract bila kukwaza wengine, mfano ni thread ya 'natafuta infii'...baada ya 2-3 pages, the next more than 200 pages were purely interactive na waliokuwemo humo walikuwa wanaelewana wao kwa wao, na ifact haikuwa ikimkera mtu mwingine yeyote...so why a should that thing matter to strangers? watu wengi sana hawaelewi in and out of infii swaga and they just tend to complain and blame
By the way, mambo sijui ya kuliwa tigo (sijui hata unakulaje kampuni ya simu), au sijui natafuta mtu mwenye 'dudu' kubwa are simply crap and nonsense on this forum...and your thread makes more sense on that
dah ww mrembo umepotelea wapi? acha kutukimbia bana, its not fair. sorry (acid), imebidi niende ofu topik baada ya kumuona huyu dada.Acid,
Nisaidie ile signature ya Invisible, siikumbuki vizuri nataka kuitumia. Siwezi kuiona maana natumia simu.
Samahani kwa usumbufu na natanguliza shukrani.
karibu tena BHT usitie shaka... HIyo hapo chiniAcid,
Nisaidie ile signature ya Invisible, siikumbuki vizuri nataka kuitumia. Siwezi kuiona maana natumia simu.
Samahani kwa usumbufu na natanguliza shukrani.
klorokwin...usitoke nje ya mada kwanza. Namalizia shule ya uvumilivu.dah ww mrembo umepotelea wapi? acha kutukimbia bana, its not fair. sorry (acid), imebidi niende ofu topik baada ya kumuona huyu dada.
Umeiweka vyema GY na nimekuelewa sana... sijalalamika mkuu nimeweka reflection... surely kulalama na reflection are two different stuff
Hii yakuripoti nakubali is the most effective but sisi ni wakubwa na si vibaya kufanya reflection
Hapo kwenye red, sina zaidi ya kusema thanks message delivered
Kuna wakati nyerere alishangaa sana jamaa walipolifuta azimio la arusha, na akatamka maneno kwamba alikua kila akisoma lile azimio haoni kosa wala tatizo lake lakini jamaa wakalifutilia mbaliWanajamvi, mimi ni mdau mkubwa sana wa hili jukwaa na leo baada ya kupata utakaso kidogo nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu nini hasa nia ya kujumuika pamoja jamvini... Nikakumbuka shule za Shy, safari za mbugani, vikao vya jioni nasaha za akina MJ1, BHT, PJ WOS, FL1 Mbu, Balantanda, nk. pia nikaanza kupata smile ya ajabu nikisoma the happiness the wapwaz, nephews nk wanazonipa kila siku. sisahau NN, JS, Pearl, Boss, Nguli etchapo sijagusa DC, Mchungaji Masa, retired comedian asprin, geoff, newcomer finest, washkaji akina rr, next level, BE, vivan, lizy, preta, lilyflower, baba desi na wengine wengi wasiosemekea
Lakini kuna kitu naomba niseme, tumekua kama tunaanza kwenda kwenye jukwaa la wakubwa kwa sana (na mimi ni mmoja wao)... this may not be the best for this jamvi... can we do something? mfano mdogo sana ni mtu kama huyu hapa chini juzi kaja na issue ya tIGO, tunakichangia na kuomba iende lile jukwaa letu la over 18, leo kaweka nyingine
wakati naperuzi, nikakuta kwamba mmoja warning tayari kutoka kwa mdau
its a valid one
Nimeona wa Arusha wameanza vizuri sana na shukrani kubwa kwa kamanda PJ na majenerali wake kwa kutukumbusha
Je, are we heading to the wrong direction?
Je jukwaa la wkubwa ni sawa na MMU?
Is there anything we can change for the better
or we like it likt it is now?
Nawasilisha na kaujumbe ka invisible kaliko kwenye signature yake vilevile
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
![]()
Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)
:coffee:
24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com
smiles umeniwahi... but its ok ni wewe buddy!!!! its all about reflection adn what we got is exactly nilichokua nasema wakati naanzisha hii thread, we have lost some respect to each other...Well, whatever happened here? Tumeanza personal attacks kwenye mada ambayo it was intended to decide on how better we can put this forum,
Hii imenishangaza kidogo, and its a way to prove ni kwa kiasi gani tunatumia hii forum vibaya.
Let's think clearly jamani, we don't respond to an attack with an attack, that gives both parties lower grades.
Teamo - u have been around long enough to know when an arguement is not worth it,
BTK, Fab - u have laid out ur concerns, stay on it but don't pressure anyone to believe as u do, and please what I have just read up there sounds too low for a great thinker.
Am sorry if by sayin that imemkwaza mtu yeyote lakini let's get back to topic please!! That was way out of it